King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,635
- 68,565
1.Hela nimeweka tangia 2002 lakini nikija kustaafu/kuresign napata hela hile hile niliyochangisha,hivi laki 2 ya 2002 ni sawa na hii ya 2012? Kwanin msifanye michakato ya kuwalipa watu mafao yao kwa ongezeko kulingana na thaman halisi ya sasa?
2.Michango yetu mnafanyia biashara na mnapata faida sana na mna-extend biashara hadi nchi za jirani,iweje sisi wadau wakuu,hamtuingizii bonus(faida) ya biashara yenu wakati sisi ndio wanahisa wakuu?
3.Inakuwaje hela zetu sisi wenyewe hatuwezi kukopeshwa? Lakin hizo pesa mnakopesha watu wengine ambao sio hata wanachama,kwanin msiweke mchakato wa kukopesha wanachama kama wanavyofanya saccos kwamba mkopo unapata kulingana na amount uliyochangia?
4.Yanini mtu akistaafu au kuresign anasubiri miezi sita yote hayo ya nini? Kwanin msiwabane waajiri kwamba kila mwisho wa mwezi wapeleke michango yao ambao inakua easy mtu ukiacha kazi upate stahili zako ndani ya wiki moja au mbili tu kama PPF wanavyofanya.
Nawaomba wadau wa NSSF myafanyie kazi hayo mambo la sivyo katiba mpya lazima iyaingize hayo mambo!!!
Nawasilisha.
2.Michango yetu mnafanyia biashara na mnapata faida sana na mna-extend biashara hadi nchi za jirani,iweje sisi wadau wakuu,hamtuingizii bonus(faida) ya biashara yenu wakati sisi ndio wanahisa wakuu?
3.Inakuwaje hela zetu sisi wenyewe hatuwezi kukopeshwa? Lakin hizo pesa mnakopesha watu wengine ambao sio hata wanachama,kwanin msiweke mchakato wa kukopesha wanachama kama wanavyofanya saccos kwamba mkopo unapata kulingana na amount uliyochangia?
4.Yanini mtu akistaafu au kuresign anasubiri miezi sita yote hayo ya nini? Kwanin msiwabane waajiri kwamba kila mwisho wa mwezi wapeleke michango yao ambao inakua easy mtu ukiacha kazi upate stahili zako ndani ya wiki moja au mbili tu kama PPF wanavyofanya.
Nawaomba wadau wa NSSF myafanyie kazi hayo mambo la sivyo katiba mpya lazima iyaingize hayo mambo!!!
Nawasilisha.