Mkuu wake bado yuko ofisini tu!
Suala hili ingawaje mtoa mada hana reliable source ya habari yake lakini halina budi kufanyiwa uchunguzi haraka sana kuokoa fedha za michango ya wanachama wa mfuko huu,si la kupuuzwa abadani,linajirudia rudia sana,inawezekana kuna ukweli ndani yake
Alafu bado kuna watanzania wana imani na watangaza nia wa CCM!!
Siuji tumelogwa,tumelaniwa sipati majibu!!