Nilifanya kazi, nikawa nimefikisha miezi 192 ya kuchangia 2022 ingawa umri ulikuwa 46 years. Baada ya Mzee baba kuja na sheria za kuunganisha mifuko nikaogopa hivyo nikawithdraw FAO la kukosa ajira na fedha nikapata ila nikawa nasubiri umri wa 55 ufike ili nilipwe na pension.
Bahati nzuri baada ya kuwa nimetoa mafao nilipata kazi na nimefanya kwa mashirika mawili tofuati na kufanikiwa kuchangia miezi 36 kwa miaka 3 na ajira imeisha.
Sasa najiluiza utaratibu mpya wa kupata hizi nilizochangia baada ya kuwa nimetoa michango yangu huko nyuma ni upi?
Asanteni
Bahati nzuri baada ya kuwa nimetoa mafao nilipata kazi na nimefanya kwa mashirika mawili tofuati na kufanikiwa kuchangia miezi 36 kwa miaka 3 na ajira imeisha.
Sasa najiluiza utaratibu mpya wa kupata hizi nilizochangia baada ya kuwa nimetoa michango yangu huko nyuma ni upi?
Asanteni