Black Beast
Senior Member
- Aug 6, 2019
- 132
- 494
Habari wadau,
Nilifungua Claims NSSF wiki 6 zilizopita na sasa balance inasoma 0 siku ya nne sasa lakini akaunti yangu haina kitu.
Je hii ina maana kuna shida au niende NSSF kuuliza ama niendelee kujipa muda, nawasilisha.
Nilifungua Claims NSSF wiki 6 zilizopita na sasa balance inasoma 0 siku ya nne sasa lakini akaunti yangu haina kitu.
Je hii ina maana kuna shida au niende NSSF kuuliza ama niendelee kujipa muda, nawasilisha.