"I take this girl, if
police come, tell Chonya of Chilonwa. Me!" -- fumbua hii nukuu (km
nitakuwa sijakosea spelling).
Novel zote za David Mailu ni noma zina mafunzo sana kwa vijana.Yeah! Kwenye mabara the farmer stelingi alikua mr. Kumalo kama sikosei.
vuta n'kuvute by shafi
Za skuli? Hapana hazikutuvutia kabisa, hao kina chinua Achebe na wenzake kama Ngungi wa Thiong'o tulikuwa tunawapitia kwa sababu ya Marks za darasani. Lakini bila ya kusoma zile za James Hardley Chase basi wewe ulionekana siyo Mkali. Kwa kwa za kibongo nilipenda sana ile ya "Kitanda cha Mauti" ya Kajubi Mukajanga kama sikosei,na zote tatu za Mzee Musiba (RIP) muhusika wake mkuu akiwa ni Willy Gamba. Kuna za mtu anaitwa Agatha Christie hizo nazo nilizipitia sana!!
Wewe ndo hazikukuvutia, wenzio tuliokuwa tunaelewa tulizifurahia na kuzipenda, na hadi leo tunazisoma.
BTP: Mie nlipenda THE RIVER BETWEEN ya Ngugi wa Thiong'o, Maina Characters Muthoni na Waiyaki, pia Kusadikika cha Ben R Mtobwa.
Mfalme juha!!