Novel gani ilikuvutia enzi uko secondary?

Novel gani ilikuvutia enzi uko secondary?

"I take this girl, if
police come, tell Chonya of Chilonwa. Me!" -- fumbua hii nukuu (km
nitakuwa sijakosea spelling).

Thank you. Kuli, Njama,Kusadikika,Kufikirika,Ngoswe, Hawala ya fedha, Is it Possible, 3 suitors 1 husband, Things fall apart, The river between etc. Napenda sana kusoma novels.
 
Mission to Kala.......................by Mongo Betti,na kazi kadhaa za Sembene Ousmane!!sikuwa secondary hata hivyo,nilikuwa primary japo mamangu alikuwa anasoma haya 'madudu' hadi nikajua atachanganyikiwa,kumbe navyomuwazia ndo ananiambukiza na mimi!!
 
Nilikua nafungisha na padri m1 akasema kamwe hawazi kufundisha kitabu cha song of lawino & ocol kama mtu anataka kusoma ajisomee mwenyewe na kwenye mtihan wake asijibie labda ajibie necta?
 
Za skuli? Hapana hazikutuvutia kabisa, hao kina chinua Achebe na wenzake kama Ngungi wa Thiong'o tulikuwa tunawapitia kwa sababu ya Marks za darasani. Lakini bila ya kusoma zile za James Hardley Chase basi wewe ulionekana siyo Mkali. Kwa kwa za kibongo nilipenda sana ile ya "Kitanda cha Mauti" ya Kajubi Mukajanga kama sikosei,na zote tatu za Mzee Musiba (RIP) muhusika wake mkuu akiwa ni Willy Gamba. Kuna za mtu anaitwa Agatha Christie hizo nazo nilizipitia sana!!

Wewe ndo hazikukuvutia, wenzio tuliokuwa tunaelewa tulizifurahia na kuzipenda, na hadi leo tunazisoma.
BTP: Mie nlipenda THE RIVER BETWEEN ya Ngugi wa Thiong'o, Maina Characters Muthoni na Waiyaki, pia Kusadikika cha Shabaan Robert.
 
Kusadikika mwandishi Shaban Robert,niliipenda kwasababu mwandishi alikuwa na upeo wa ajabu halafu lugha zake anazotumia huwa zimekaa kifasihi zaidi
 
Wewe ndo hazikukuvutia, wenzio tuliokuwa tunaelewa tulizifurahia na kuzipenda, na hadi leo tunazisoma.
BTP: Mie nlipenda THE RIVER BETWEEN ya Ngugi wa Thiong'o, Maina Characters Muthoni na Waiyaki, pia Kusadikika cha Ben R Mtobwa.

Mkuu kusadikika ni Shaban Robert na siyo Ben Mtobwa....Ben Mtobwa labda watoto wa mamantilie ila sina uhakika sana
 
Back
Top Bottom