Sophoghani
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 395
- 616
Macron kasema wataijenga upya
Nani kakwambia ni magadi ndo walowasha moto? Squeeze your brain buddaaImeniuma sana
Magaidi sio watu wakuwachekea
God first
Hahah hao ndio wanafiki wa ki africa mkuu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nani kakwambia ni magadi ndo walowasha moto? Squeeze your brain buddaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha lijiungulie zake tu, kwani unadhani halina akili? Limeshaona kuwa limegeuzwa kituko cha kutembelewa kama Makumbusho ya kihistoria huku waumini wakizidi kupungua kwa kasi ya ajabu. So limeamua kujipiga kibiriti tu.Inauma kwa kweli kuona historia inateketea hivi
Nakumbuka tukio kama hili nilikuwa London wakati Windsor castle linawaka moto, lakini bahati halikuteketea lote na walitengeneza upya na sasa lipo kama zamani
Ila hili kanisa ndio kwaheri
Naona viongozi wengi duniani wana tweet
Na wenye uoendo na historia
Lakini ninapoona heritage site zinaharibika hivi kama daesh walivyovunja sites za makumbusho huko Syria na Iraq duuu inauma kwa kweli
Kila nikakotembelea dunia ni lazima niende kwenye majengo ya kihistoria
So sad
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Ni swala la kuchagua tu, siyo la kufundushana au la kulazimishana. Yeye kachagua cha kukililia hao wabongo walilie wewe.Unaacha kulilia ndugu zako albino wanachinjwa huku Bongo,watoto wanatekwa na kuuwawa huko njombe unakuja kulilia jengo wa wafaransa,ajabu sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaha naunga mkono hoja na nimetengua kauliAcha lijiungulie zake tu, kwani unadhani halina akili? Limeshaina kuwa limegeuzwa kituko cha kutembelewa kama Makumbusho ya kihistoria huku waumini wakizidi wakipungua kwa kasi ya ajabu. So limeamua kujipiga kibiriti tu.
Upo vizurKing Louis 4 Aliyachukua kutoka Constatinople akayapeleka Ufaransa mwaka 1238.Before that Pale Constatinople yalifika mwaka 1063 kutoka Jérusalem.
Usisemee wakristo wote lina historia yenu wakatoliki tu siyo wakristo woteIam à christian,that church has great history with christianity.
Kama utalii na kutengeneza hela sawa lakini kwa kuabudu wameisha acha kuabudu siku hiziWazungu watajenga kitu kile kile kwa ramani ile ile na kitakaa miaka 1000
Kwa iyo vyote vimeungua ?As a Christian nililia lile kanisa ni muhimu sana kiimani kwa sisi wakristo.Taji ya miiba aliyovalishwa Yesu imehifadhiwa hapo,kipande cha msalaba alosulubiwa Yesu kimehifadhiwa hapo,Jiwe lililotoka mahali aliposulubiwa Yesu limehifadhiwa hapo.
Mimi siyo mkatoliki. Lile kanisa lilikuwa linagifadhi taji ya miiba alovishwa Yesu,msumari mmoja ulotoka kwenye msalaba wa Yesu. Kipande kilichotoka kwenye msalaba wa Yesu Sisi wakristo tunaamini Yesu. Vitu vilivyokuwa kwenye hilo hekalu ni muhimu sana katika imani Yetu ya Ukristo.Usisemee wakristo wote lina historia yenu wakatoliki tu siyo wakristo wote
April 15, 2019
Paris, France
Historia ya Notre-Dame Cathedral na umuhimu wake katika historia ya taifa la Ufaransa
Muonekano wa Kanisa Kuu wa Notre-Dame jijini Paris, France linalohusishwa na Bikira Mariamu lilianza kujengwa mwaka 1163 AD baada ya jiwe la msingi kuwekwa na Pope Alexander III . Maana ya Notre-Dame ni Our Lady katika Kiswahili twaweza sema 'Mama Yetu' na ni utamaduni waWafaransa kufananisha jengo la kanisa kubwa kwa mahaba makubwa kama Mama Yetu . Ujenzi wa Notre-Dame ulimalizika 1345 A.D hivyo kuchukua miaka 180 kukamilisha mradi huu pekee wa jengo maarufu la kanisa la Notre-Dame.
Kuna Kengele kadhaa lakini ile kubwa kabisa yenye uzito wa tani 13 iliyopewa jina Emmanuel ambayo hutumika maalum wakati wa sikukuu kubwa za Pasaka, Christmas na hafla zingine kubwa . Kengele zingine ndogo tano husikika kuashiria muda wa saa kila siku katika jiji la Paris. Kanisa hili limeshehene kazi maarufu na za ustadi mkubwa wa Sanaa ya uchoroaji zikielezea hadithi na historia mbalimbali za kiimani.
Kuna sanamu mbalimbali zilizowekwa nje ya jengo la kanisa la Notre-Dame zikiashiria masuala mbalimbali ikiwemo kulilinda kanisa hilo na mabalaa mbalimbali ya kishetani. Kuna sanamu ya Charles The Great kuashiria mchango wake kwa Kanisa katika bara la ulaya, picha za Napolean Bonaparte akitawazwa na za mtiririko wa picha adhimu kuhusu matukio na historia ya Ufaransa na Kanisa. Kuna alama ya Point Zero ikimaanisha hapo ndipo kitovu cha katikati ya jiji la Paris likionesha kilomita sifuri (Kilometre zero Paris 48°51′12″N 2°20′56″E ).
Point Zero mbele ya Kanisa la Notre-Dame ndipo ramani na kiashiria cha mpango mjni ya jiji la Paris Ufaransa karne nyingi zilizopita kabla ya teknolojia ya GPS na satellite kuanzishwa. Hivyo tuauona umuhimu wa jengo hili kwa Wafaransakatika masuala ya Imani, utamaduni, kuenzi chao na utalii kwa ujumla. Kanisa hili limekuwa alama muhimu iliyosimama kwa miaka zaidi ya 850 kuelezea historia ya Ufaransa na pia jiji la Paris na aina ya ujenzi-wa-kuigwa katika cathedral zilizotapaka nchini Ufaransa za Amiens,Chartres na Rheims.
Vinasaidia nini hivyo vitu katka ukristo wako?Mimi siyo mkatoliki. Lile kanisa lilikuwa linagifadhi taji ya miiba alovishwa Yesu,msumari mmoja ulotoka kwenye msalaba wa Yesu. Kipande kilichotoka kwenye msalaba wa Yesu Sisi wakristo tunaamini Yesu. Vitu vilivyokuwa kwenye hilo hekalu ni muhimu sana katika imani Yetu ya Ukristo.
Umeahidi kiasi gani bilionea wanguuu... miss uSo far almost $1 billion has been pledged by billionaires and every day people to rebuild that beautiful church which also use to attract 13 millions tourists each year.