Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Wakuu!
Binafsi natumia atm za Umoja,na NBC,,,Mwenzi wangu anatumia CRDB na NMB....Katika ATM zote hizo hatujawahi kukutana na noti mpya!
Nauliza hivi ni kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM mashines? Na tatizo ni nini? AU hizi note haziko compatible na atm zetu......kuna nini hapo!
Binafsi natumia atm za Umoja,na NBC,,,Mwenzi wangu anatumia CRDB na NMB....Katika ATM zote hizo hatujawahi kukutana na noti mpya!
Nauliza hivi ni kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM mashines? Na tatizo ni nini? AU hizi note haziko compatible na atm zetu......kuna nini hapo!