Noti mpya(tshs) kwenye atm

Rugas

JF-Expert Member
Jan 8, 2009
1,048
196
Wakuu!
Binafsi natumia atm za Umoja,na NBC,,,Mwenzi wangu anatumia CRDB na NMB....Katika ATM zote hizo hatujawahi kukutana na noti mpya!
Nauliza hivi ni kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM mashines? Na tatizo ni nini? AU hizi note haziko compatible na atm zetu......kuna nini hapo!
 
Kuna WIZI

Kwani zile za zamani tuliambiwa muda wake wa mwisho kutumika ni lini?
 
Wakuu!
Binafsi natumia atm za Umoja,na NBC,,,Mwenzi wangu anatumia CRDB na NMB....Katika ATM zote hizo hatujawahi kukutana na noti mpya!
Nauliza hivi ni kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM mashines? Na tatizo ni nini? AU hizi note haziko compatible na atm zetu......kuna nini hapo!

Mkuu!!
uliyo nayo ni dhana tu na kwa bahati mbaya haiko sahihi,fedha mpya zinapatikana tu kwenye ATM kama kawaida..binafsi natumia CRDB na latest ni jana (tar 4/4/2011) nime-draw noti mpya toka kwenye ATM ya CRDB..waliokwambia wamekurupuka hoja yao haina mshiko.
 
Sidhani kama kweli wewe ni mtumiaji wa mara kwa mara wa ATM...mbona zipo tu.
 
Mkuu!!
uliyo nayo ni dhana tu na kwa bahati mbaya haiko sahihi,fedha mpya zinapatikana tu kwenye ATM kama kawaida..binafsi natumia CRDB na latest ni jana (tar 4/4/2011) nime-draw noti mpya toka kwenye ATM ya CRDB..waliokwambia wamekurupuka hoja yao haina mshiko.
pesa zilianza kutumika january mpaka leo mabenk hawazitumii kwenye ATM...mfano NBC, NMB, Exim, DTB ukitoa ambayo umeconfirm kwamba wanatoa...
Je una weza kutuambia kwanini wamechelewa kuanza kuzitumia kwenye ATM wakati ukienda kaunta uwanakupa note mpya..ukishindwa kujibu basi wewe ndiyo umekurupuka na siyo mtoa mada....
 
Mkuu!!
uliyo nayo ni dhana tu na kwa bahati mbaya haiko sahihi,fedha mpya zinapatikana tu kwenye ATM kama kawaida..binafsi natumia CRDB na latest ni jana (tar 4/4/2011) nime-draw noti mpya toka kwenye ATM ya CRDB..waliokwambia wamekurupuka hoja yao haina mshiko.

Mkuu sijasema nimembiwa na mtua!Nimetoa practically kwa binafsi sijawahi kuzipata kwenye atm.ATM za umoja natumia zaidi ya mara 2 kwa wiki,na ni za benki tofauti tofauti,sijawahi kupata noti mpya! nilichotaka kujua ni km hii ni kwa wote au atm nyingine zinatoa.Na ni kwa nini ukiingia ndani unapewwa lakini kwenye atm hazipatikani?
 
Wakuu!
Binafsi natumia atm za Umoja,na NBC,,,Mwenzi wangu anatumia CRDB na NMB....Katika ATM zote hizo hatujawahi kukutana na noti mpya!
Nauliza hivi ni kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM mashines? Na tatizo ni nini? AU hizi note haziko compatible na atm zetu......kuna nini hapo!

Baadhi ya ATM za exim na barkrays wanazo zinazotoa note mpya. ila kwa mujibu wa staff wa benk ni kwamba note mpya hazipatikani kutoka BOT. wakienda kuchukua wanapewa za zamani tu.
 
pesa zilianza kutumika january mpaka leo mabenk hawazitumii kwenye ATM...mfano NBC, NMB, Exim, DTB ukitoa ambayo umeconfirm kwamba wanatoa...
Je una weza kutuambia kwanini wamechelewa kuanza kuzitumia kwenye ATM wakati ukienda kaunta uwanakupa note mpya..ukishindwa kujibu basi wewe ndiyo umekurupuka na siyo mtoa mada....

Kaka!!
alichosema mtoa mada ni kuwa noti mpya hazitolewi kwenye ATM machines na aka-cite mabenki mojawapo ikiwa CRDB,mimi na-draw noti mpya kila siku kwenye ATM za CRBD Ulitegemea nimwambie mtoa mada kitu ganu??kuwa kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM??amekurupuka tu hakuna lingine,noti mpya zinatolewa kama kawaida..
 
Jamani, mkumbuke kuwa atm machine nyingi ni za zamani ndio maana noti mpya hazitoi! Benki nyingi zina atm machine outdated!
 
Wakuu!
Binafsi natumia atm za Umoja,na NBC,,,Mwenzi wangu anatumia CRDB na NMB....Katika ATM zote hizo hatujawahi kukutana na noti mpya!
Nauliza hivi ni kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM mashines? Na tatizo ni nini? AU hizi note haziko compatible na atm zetu......kuna nini hapo!
Kwani hizo noti mpya zina thamani tofauti na noti za zamani au unatakaje
 
Back
Top Bottom