Notes za UDSM

Notes za UDSM

nimekuelewa kaka ila haujanielewa.......sijapuuzia d.s ndo mana nkaomba msaada wa notes na si kwamba sitoingia darasani hapana nilichotaka niwe na notes ata mwalimu akiingia class nakua nimejiandaa, ahsante kaka
 
habarini wakubwa kwa wadogo, nilikua naomba mwenye softcopy za notes na past papers za DEVELOPMENT STUDIES 1 na LINEAR ALGEBRA 1, m nipo 1st year apo udsm, msaada wakuu, ahsanteni.

Acha ubwege! Chuo hamna tuition wala remidial na wala usirudie au kujaribu kuomba hata notes za wengine msikilize lecturer wako chukua notes zake fuatilia handout na courseoutline halafu zama library!!!
 
eeeeeh bro umetokea wapi??? kwani kuna mtu kaomba kufundishwa tuition apa????? unajiona kipanga eti msikilize lecturer af zama library.. nikwambie tu ukweli ata ww library mara ya mwisho kuingia mwaka jana.
 
ahsante kwa ushauri, registration tayari kila kitu, ila kuna masomo ambayo ni common kwa kila course na haiitaji ad ufundishwe km development studies na huwa haibadiliki kivile.

umejuaje kama hayabadiliki au ulishasoma hapo kabla
 
kusoma past paper ndio mwanzo wa kuanza kukariri subiri lecture afundishe tengeneza notes zako mwenyewe kijana hio sio secondary
 
eeeeeh bro umetokea wapi??? kwani kuna mtu kaomba kufundishwa tuition apa????? unajiona kipanga eti msikilize lecturer af zama library.. nikwambie tu ukweli ata ww library mara ya mwisho kuingia mwaka jana.

Usiwe mbishi anachokueleza ndio ukweli.Hi post yako ukifika 3rd au 4th year utaikumbuka na utakumbuka ushauri wa watu.
 
Acha ubwege! Chuo hamna tuition wala remidial na wala usirudie au kujaribu kuomba hata notes za wengine msikilize lecturer wako chukua notes zake fuatilia handout na courseoutline halafu zama library!!!

Hivi ukimuelekeza kiustaarabu utakatika mkono?
 
kwa sababu najua tu ndugu yangu otherwise ni story ndefu.
 
mbona dada yangu khantwe kanieleza kistaarabu na nimemuelewa na sijamjibu vibaya zaidi ya kumtania tu km mdogo wake, tatizo j.f kila mtu anajiona anajua sana basi m najua zaidi.
 
kwa somo kama D.S wacha nikariri mwantui nifaulu.
 
mbona dada yangu khantwe kanieleza kistaarabu na nimemuelewa na sijamjibu vibaya zaidi ya kumtania tu km mdogo wake, tatizo j.f kila mtu anajiona anajua sana basi m najua zaidi.

Tena kuna mijitu inajifanyaga inajuwa, kumbe inajuwa kwenye kiibodi tuuu...... Utaisikia..
1. We bado mtoto
2. Haituhusu
3. etc etc
 
Khantwe, this is unfair...

Unfair? Hapana...mi nnachojua mwalimu ndo huwa anatoa mwongozo juu ya nini cha kusoma kutegemea na jins alivyofundisha yeye....test zinatoka timed essay na UE haichezi mbali na maswali hayo pamoja na yale ya seminar...binafsi naona kuanza kusolve past papers ni kujichosha tu (nimemshauri kwa mujibu wa mtazamo wangu)
 
eeeeeh bro umetokea wapi??? kwani kuna mtu kaomba kufundishwa tuition apa????? unajiona kipanga eti msikilize lecturer af zama library.. nikwambie tu ukweli ata ww library mara ya mwisho kuingia mwaka jana.

Tatizo lako ni ubishi Dogo kahudhurie lecture then utajua kitu gani inabidi utafute ila unaonekana mbishi sana...bila Shaka utakua mlugulu ww!!!!
 
HAHAHAHA kubadilika inabadilika lakini mara chache sana kwa masomo ya common km D.S......naelewa kuliko unavodhani ndugu yangu.

ungekua unaelewa ungefuata unachoambiwa maana wenzio wanajua zaidi ya unachokijua maana wana uzoefu au ndio wahusika wakuu,hujafika hata robo course unaelewa nini?au unataka kubishana tu kama tupo secondary school?
 
Back
Top Bottom