FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Matokeo yatakayotangazwa ulanga magh. Ni ushindi kwa tabibu hadji hussein mponda dhidi ya profesa mlambiti. Ni matokeo yasiyo na ridhaa ya wana ulanga magharibi lakini inatubidi sote kama wanafunzi wa demokrasia turudi ktk mstari wa kukubali na kuheshimu matokeo hayo.
Udiwani umekaa hivi kule ulanga magharibi. Ni kweli kuna wards 15 au 16 ila nina hakika na hizi zifuatazo.
kata za ulanga magharibi ni hizi hapa
1. kivukoni-chadema
2. mavimba/minepa-ccm
3. lupiro-chadema
4. kichangani-ccm
5. iragua-ccm
6. itete-chadema
7. njiwa-chadema
8. mtimbira/madira-ccm
9. mtimbira-usangule-ccm
10. sofi-tlp
11. malinyi-chadema
12. igawa-ccm
13. biro-ccm
14. ngoheranga-ccm
15. kilosa kwa mpepo-ccm
ukweli ndio huo na ni mtindo uliomuondoa dkt ngasongwa ktk kura za maoni chini ya uratibu wa celina kombani,ccm wilaya na mkoa ndio umetumika kumtoa roho profesa mlambiti.
amini usiamini mtimbira hawana vote za kumshindisha mgombea yeyote katika hali ya namna hiyo. Tafakarini wana ulanga na tupatieni majibu 2015.
mbunge mpya apewe ushirikiano ktk agenda hizi na siyo vinginevyo
ninawapongeza kwa kuthubutu kuleta mabadiliko, daima safari ni hatua nanyi mko safarini.........
ninawasilisha
Udiwani umekaa hivi kule ulanga magharibi. Ni kweli kuna wards 15 au 16 ila nina hakika na hizi zifuatazo.
kata za ulanga magharibi ni hizi hapa
1. kivukoni-chadema
2. mavimba/minepa-ccm
3. lupiro-chadema
4. kichangani-ccm
5. iragua-ccm
6. itete-chadema
7. njiwa-chadema
8. mtimbira/madira-ccm
9. mtimbira-usangule-ccm
10. sofi-tlp
11. malinyi-chadema
12. igawa-ccm
13. biro-ccm
14. ngoheranga-ccm
15. kilosa kwa mpepo-ccm
ukweli ndio huo na ni mtindo uliomuondoa dkt ngasongwa ktk kura za maoni chini ya uratibu wa celina kombani,ccm wilaya na mkoa ndio umetumika kumtoa roho profesa mlambiti.
amini usiamini mtimbira hawana vote za kumshindisha mgombea yeyote katika hali ya namna hiyo. Tafakarini wana ulanga na tupatieni majibu 2015.
mbunge mpya apewe ushirikiano ktk agenda hizi na siyo vinginevyo
- wilaya mpya ya malinyi pasipo kuporwa mipaka ya sasa ya ulanga magharib
- umeme
- songea road
- elimubora
- elimu ya uraia kwa kila mwananchi
- afya na huduma zingine za jamii
ninawapongeza kwa kuthubutu kuleta mabadiliko, daima safari ni hatua nanyi mko safarini.........
ninawasilisha