"Not Allocated Loan In The First Bach"

"Not Allocated Loan In The First Bach"

yarumba Msuya

Member
Joined
Oct 21, 2016
Posts
24
Reaction score
9
Dah tulipewa mkopo awamu ya kwanza na tuka sign hadi boom
lakini cha ajabu mambo yamebadilika saiv loan status inaandika "not allocated loan in the first bach" na tumeondoshewa mkopo wote
Sasa sijui HESLB wana mpango gani na sisi
Inauma sana zaidi ya sana
Wengine tuna mzazi mmoja ambae ni mama wa nyumbani asiye na kazi maalumu Sasa sijui tutasomaje
 
Pole sana Serikali ya majanga hii, ndoto zako kuhusu kupata elimu ya juu ndiyo zinayeyuka taratibu, ila usikubali kutoswa kirahisi hivyo jaribu kupambana nao mpaka kieleweke kama hawakupi mkopo mwaka huu basi mwakani wakupe mkopo. Pole sana.
 
Pole sana Serikali ya majanga hii, ndoto zako kuhusu kupata elimu ya juu ndiyo zinayeyuka taratibu, ila usikubali kutoswa kirahisi hivyo jaribu kupambana nao mpaka kieleweke kama hawakupi mkopo mwaka huu basi mwakani wakupe mkopo. Pole sana.
Asante sana ndugu
no way out ngoja tukate rufaa
 
Pole sana Serikali ya majanga hii, ndoto zako kuhusu kupata elimu ya juu ndiyo zinayeyuka taratibu, ila usikubali kutoswa kirahisi hivyo jaribu kupambana nao mpaka kieleweke kama hawakupi mkopo mwaka huu basi mwakani wakupe mkopo. Pole sana.
Hivi pesa zote wanazodai kukusanya zinaishia wapi?
Maana kama mikopo tu wanashindwa kutoa sasa inamaana gani hii serikali?
 
Hakuna namna itabidi tutulie tumuombe Mungu atufungulie njia nyingine mm naamini kama umemuomba Mungu na ukakosa basi amekuepusha na huo upande, maana yake alipokuchagulia ndo pazuri zaidii
 
Unaweza kupata mkopo ukasoma ila baadae ukasota mtaani kwa kukosa ajira na huku unadaiwa huo mkopo kwa vitisho! Vile vile unaweza kukosa mkopo na usisome but ukaja kuwa billionea kwa njia mpya utakayoifata tofauti na elimu .. Kwa hyo Mshukuru MUNGU kwa kila jambo, MUNGU anatupenda, hapendi kutuona tunalialia anapenda kutuona tukifurahi, hii changamoto cha msingi kuwa mpole Fanya mishe zingine
 
Yaani Kola nikifikiria kuanzia December nakuwa na miaka 30 nakosa furaha kwa sababu wasiponipa mkopo now ndo elimu ya juu niisikie kwa kina J. F Ndalichako tuu.
 
Back
Top Bottom