Hbr zenu wana jamii, jamani mwenzunu nimewahi kufanya kazi katika migodi mbali mbali hapa nchini, ila cjawahi pata ona sehemu yenye wageni toka nje za nchi yani ma expart wengi wao wakitokea south africa, ghana, na uingereza, hawa jamaa kinachoumiza zaidi hawajui kazi ya aina yoyote, zaidi ya watu weusi wao ndiyo wafanyakazi wakubwa, ma expert hao kazi yao kubwa ni kuvuta sigara na kunywa kahawa, jamani serikali yetu ikwapi ije iwakague hawa watu, nahisi hata kuingia hapa tz itakua ni kwa ujanja ujanja.