Niliona kulikua na sehemu ambayo ilikuwa na barracks za Mwingereza, majirani wa hiyo sehemu wanaishi maisha duni sana. Walijengewa nyumba miaka ya 70 wakati ujamaa uko kwenye peak period, na wakati huo walipata umeme wa bure kutoka serikalini lakini siku hizi hawapati tena, fikiria wanaenda kuchota maji kama kule kwetu kwa Mtogole na ndoo, afadhali kule kwetu tuna vyoo vya shimo ambavyo viko more economy when it comes to water, wao maji ndiyo ya kuflashia vyoo na wakati wa baridi yanakuwa yameganda.