Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,633
- 3,534
Inaweza ikawa ni mbinu.SILAHA ZAKE KUTWA ZINA FELI....US WAMEFANYA KWELI KWA KU DROP ILE M.O.A.B IN AFGANISTAN
OVA
Inaweza ikawa ni mbinu.SILAHA ZAKE KUTWA ZINA FELI....US WAMEFANYA KWELI KWA KU DROP ILE M.O.A.B IN AFGANISTAN
OVA
Japo kuwa mitambo ya thaad yamefungwa s.korea sidhani kama yanaweza kuzuia silaha zote
Silaha zake zote anazitumia kupiga seoul tu ,tuone kama mbwai mbwai tu
Inawezekana test imefail lakini hao south huwa siwaamini sana sababu ni watu wa propaganda sana
kabisa, hizoo Terminal High Altitude Area Defence (THAAD) Hazipo effective Sana na hata haziwez kufua dafu kwa Operational Submarines-launched devices ambazo anazo N.Korea. Ndo mana Kuna tension kubwa Sana hasa S.korea na Leo VP mike Pence ataenda kuwatuliza Seoul.Japo kuwa mitambo ya thaad yamefungwa s.korea sidhani kama yanaweza kuzuia silaha zote
Silaha zake zote anazitumia kupiga seoul tu ,tuone kama mbwai mbwai tu
Inawezekana test imefail lakini hao south huwa siwaamini sana sababu ni watu wa propaganda sana
hataree yaani kama vile sayari ya Jupiter imeanguka.
Unadhan akibonyeza na yeye watamuacha, lazima watu walipize kisasi Nchi yenyewe ni ndogo.Huyu mtoto hapana asee, kawashika pabaya.
Kwa mwendo huu na ujeuri huu wakithubutu kumshambulia anaweza kubonyeza Nuke.
Imethibitika leo nuke yake ni uchwara. Sasa wanaweza kumshushia kipigo cha kufa mtu, ila bado wana wasi wasi ana madude gani mengne ambayo anaweza akatumia. Akijaribu kutest nuke kwa mara nyingine tena ikifail basi imekula kwake sidhani kama atamaliza mwaka huu akiwa madarakani. Kana kelele sana haka ambazo zinaweza kabisa kukaponza kakaishia kupata kichapo.
Mapank vs mawigi. Ha ha haaaMawigi amenivunja moyo kwakweli..yaani hadi sasa hajapiga??
Hv unaijua THAAD unasema tu!Ka
kabisa, hizoo Terminal High Altitude Area Defence (THAAD) Hazipo effective Sana na hata haziwez kufua dafu kwa Operational Submarines-launched devices ambazo anazo N.Korea. Ndo mana Kuna tension kubwa Sana hasa S.korea na Leo VP mike Pence ataenda kuwatuliza Seoul.
Huyu dogo hapend wananchi wake...
Hahahah nami nahisi hivyo awaingize kingi then waelewane vizuri ndani, huyu dogo si wa kumwendea kwa kiburi kama Trump anavyotaka...!!!Or they could be playing with our minds pretending the bomb didnt launch then Us waje kichwa kichwa jamaa awatusue
Akili ya kim jong un sio wa kumwamini kabisa hasa ukizingatia ye hataki kuwa taifa kubwa duniani ila anataka heshima na uhuru wa kufanya anachotaka
Jidanganye hivyohivyo ,angekuwa ni zoba kama waarabu marekani angesha piga lkn kikowapi anatishia tuSILAHA ZAKE KUTWA ZINA FELI....US WAMEFANYA KWELI KWA KU DROP ILE M.O.A.B IN AFGANISTAN
OVA