Kuichafua kwa Nani? Who cares? Kwendraaa
kuichafua nchi katika jumuiya ya kimataifa.
Watanzania tunajali na tunapenda nchi yetu ionyeshe mfano mzuri, na iheshimiwe.
Kuichafua kwa Nani? Who cares? Kwendraaa
FIkra hopeless kabisa! Mnaropoka kama vile kichwa ndani hakina ubongo!Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Kwani wewe ni mtanzania? Sidhani kama kuna mtanzania halisi mwenye fikra duni kwa kiasi cha kiwango chako!kuichafua nchi katika jumuiya ya kimataifa.
Watanzania tunajali na tunapenda nchi yetu ionyeshe mfano mzuri, na iheshimiwe.
Mmepewa vielfu nne nne mnajamba tu, non-granta anapewa raia na nchi yake?Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Kuna kuchanganyikiwa lakini sio kwa kiwango hiki😂😂😂😂😂Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Kwani wewe ni mtanzania? Sidhani kama kuna mtanzania halisi mwenye fikra duni kwa kiasi cha kiwango chako!
Watanzania wamewapokea na hata kuwaruhusu watu wasio watanzania asilia, mpaka kuwapa na madaraka, halafu ikawe Polepole ambaye ni mtanzania asilia?
kwani uraia ni mali ya mama yako?!Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Ndo matatzo ya kuivisha wanasheria wajinga na vilaza mwalimu wako wa Constitution alkuambiaje kuhusu uraia? Kwamba mtu akijskia anaweza nyang'anywa uraia kijinga kama mnavyotoa maoni yenu?Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
jabari la siasaAnyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu