Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Bus Hazina A/C Inabidi Tanga Wapewe Tender Kushona VipepeoHumo ndani ya gari inabid upande na oxygen yako 😂😂😂
Bus Hazina A/C Inabidi Tanga Wapewe Tender Kushona VipepeoHumo ndani ya gari inabid upande na oxygen yako 😂😂😂
Shukran Mkuu nazan nitaenda na hii optionPanda RUCHORO BUS, SWANGA-TABORA-MWANZA
S/wanga Tabora- Nzega- bukoba na ratico or frester ya MoroHabari wana JF
Nomba msaada Wa kujuzwa kama kuna usafir Wa basi kutoka maeneo haya sumbawanga/mpanda kwenda bukoba
Natunguliza shukrani