Hebu fanya hamu siku moja nawe upitepite mitaa ya Mikanjuni, Sahare, Makorora, Mabanda ya Papa, Ngamiani n.k usikie harufu ya hiliki na viungo kuanzia vya chai hadi vya pilau. Wenyewe wanasema watu wa Bara wanachemsha chai wakati Tanga chai yapikwa
Yaani hawa kama umezoea kula vizuri, never date msichana wa kihaya kwani akikupikia lazima utapatwa na muharo wa damu au kipindupindu. Yaani they are so useless in cooking, wao wanadhani kila mtu anakula wadudu (senene) na matunda (ndizi) as chakula. Yaani unachemsha tu basi kimeiva.
Yaani hawa kama umezoea kula vizuri, never date msichana wa kihaya kwani akikupikia lazima utapatwa na muharo wa damu au kipindupindu. Yaani they are so useless in cooking, wao wanadhani kila mtu anakula wadudu (senene) na matunda (ndizi) as chakula. Yaani unachemsha tu basi kimeiva.