choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,651
- 2,989
Vibe la mashabiki ni noma, hawa waarabu wanajua kushangilia , hii ligi soon itakua hatari sana
Ipo motoonimeiwekea mzigo hii mechi.
Usiombe ukutane nao mechi za mtoano wanakutoa kwenye game na hujuma zao yaan kwanzia mashabiki wao hadi wachezajSasa wacheze mpira tu bila fitina fitina. Wacheze mpira fair play play. Sio ile mipira yao ya kufanyiana hujuma,mpaka kuwanunua marefa. Hivi ndio wanasema wameshika dini wale?. Kwa vurugu zile wanazofanyiwa wapinzani zile kweli wale magaidi wale
Misri wana dini lakini hawajashika dini.Sasa wacheze mpira tu bila fitina fitina. Wacheze mpira fair play play. Sio ile mipira yao ya kufanyiana hujuma,mpaka kuwanunua marefa. Hivi ndio wanasema wameshika dini wale?. Kwa vurugu zile wanazofanyiwa wapinzani zile kweli wale magaidi wale
Sasa wacheze mpira tu bila fitina fitina. Wacheze mpira fair play play. Sio ile mipira yao ya kufanyiana hujuma,mpaka kuwanunua marefa. Hivi ndio wanasema wameshika dini wale?. Kwa vurugu zile wanazofanyiwa wapinzani zile kweli wale magaidi wale
Usiombe ukutane nao mechi za mtoano wanakutoa kwenye game na hujuma zao yaan kwanzia mashabiki wao hadi wachezaj
Sio kukariri bobuWewe sio mwanasoka, wanafanyiana vipi hujuma!! Unajua maana ya fitina/hujuma? Au ndio kukariri huko!
Kataa kubali, pinga usipinge waarabu sio level yetu
Umekariri, pole sana.
Sio kukariri bobu
Si tunawaona waarabu walivyo kwenye mechi zao hasa wanapokuwa kwao
em karudie kuangalia mechi ya future vs singida
Alafu uone nani aliyekariri
Hili neno kukariri. Naona umelizoea bila sababuWewe sio mwanasoka, wanafanyiana vipi hujuma!! Unajua maana ya fitina/hujuma? Au ndio kukariri huko!
Kataa kubali, pinga usipinge waarabu sio level yetu
Umekariri, pole sana.
Hao future walifungwa huku na singida na kule kwao walipigwa moja na singida ndipo wakaanza figisu kujiangusha kurusha chupa uwanjan na kupoteza muda na kuwatoa singida mchezoniUnafananisha future na singida kweli!! Jibu hoja, acha matusi
Kubali kataa waarabu sio level yetu, waarabu wanajua mpira, huku kwetu ni figisu na siasa tu.
Yaan jamaa kalikariri kama lilivyo yaan hana maneno mengine ni kichwa maji na uwezo wake umeishia hapo anadhani Kila mtu anakariri kama anavyokariri yeyeHili neno kukariri. Naona umelizoea bila sababu