nokia wazindua charger za sola kenya

Chief-Mkwawa

Platinum Member
May 25, 2011
30,709
39,789
-jina inaitwa dc 40
-imezinduliwa tarehe 9
-bei kama elfu 20 za kitanzania hadi elfu 25

Hii imetokana na tatizo la umeme kenya kiasi kwamba imefikia stage asilimia 80 ya wakenya hawana umeme. Nokia wameahidi kuzifanyia research zaidi hizo charger na kuna uwezekano baadae simu zinazokuja africa zikawa zinaambatanishwa na sola charge.

NOKIA-CHARGER.jpg


Chaja hii yenye uzito wa gram 93 tu inachaji betri ya 1000mah kwa masaa 4 (simu ndogo hazifkishi 1000mah so mda utapungua).

Charger hizi kwa africa zimepelekwa nigeria na kenya kwa majaribio zikifaa tutasamabaziwa na sie.

Imekaaje hii ulaya wanapelekewa wireless charge africa tunaletewa solar charge then naiona inafanana na fatboy pillow wireless charge ya lumia 920/820/810/822
 
Hi haiwezekani kutengeneza simu ambayo itakuwa na inbuilt solar panel kwa ajili ya kujicharge? Kama zinavyokuwa baadhi ya calculators! Kwa uzoefu wangu battery imekuwa ni tatizo sana kwa simu nyingi (hasa hizi za 'kisasa' zaidi).....kila siku ni lazima ucharge simu na wakati mwingine kwa siku unaweza jikuta unahitaji kucharge hata mara mbili!
 
Hi haiwezekani kutengeneza simu ambayo itakuwa na inbuilt solar panel kwa ajili ya kujicharge? Kama zinavyokuwa baadhi ya calculators! Kwa uzoefu wangu battery imekuwa ni tatizo sana kwa simu nyingi (hasa hizi za 'kisasa' zaidi).....kila siku ni lazima ucharge simu na wakati mwingine kwa siku unaweza jikuta unahitaji kucharge hata mara mbili!

Naona kama inawezekana kwa simu aina ya nokia tochi

Hizi screen kama za lcd zikikaa sana juani zinaharibika wakati solar nayo inataka jua so inakua ngumu.

Hio charger ya nokia inataka direct sunlight ili icharge faster so naona bado ipo beta stage i hope baadae wataendelea kufanya research zaidi watoe ambazo zipo advanced
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mi simu yangu ya sumsung inaprogram za kudowload solar chaji, na sijawahi install, sijui ka zinafanya kazi kweli.
 
Naona kama inawezekana kwa simu aina ya nokia tochi

Hizi screen kama za lcd zikikaa sana juani zinaharibika wakati solar nayo inataka jua so inakua ngumu.
Uzuri nokia ya tochi tayari battery yake inaweza kui-sustain kwa muda unaoridhisha (kinakaa hata siku tatu bila kucharge). Halafu ile teknolojia inayotumika kwenye calculator wala haihitaji kukaa juani (inahitaji kuwepo mwanga tu). Wangeweza ku come up na kitu similar ingekuwa safi sana!
 
Uzuri nokia ya tochi tayari battery yake inaweza kui-sustain kwa muda unaorizisha (kinakaa hata siku tatu bila kucharge). Halafu ile teknolojia inayotumika kwenye calculator wala haihitaji kukaa juani (inahitaji kuwepo mwanga tu). Wangeweza ku come up na kitu similar ingekuwa safi sana!

Kwa kugoogle upes upes bettry ya calculator ya scientific casio ni 60mah na zinakaa 2 so itakua 120mah ndo nguvu inayotakikana toka solar

Betry ya nokia tochi ni 800mah na hizi nokia mpya kama lumia 920 ni 2000mah so hizi ni kubwa sana kwa sasa naona kama bila direct sunlight hawawezi anyway ngoja tusubiri maybe watakuja na product nyengine
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hi haiwezekani kutengeneza simu ambayo itakuwa na inbuilt solar panel kwa ajili ya kujicharge? Kama zinavyokuwa baadhi ya calculators! Kwa uzoefu wangu battery imekuwa ni tatizo sana kwa simu nyingi (hasa hizi za 'kisasa' zaidi).....kila siku ni lazima ucharge simu na wakati mwingine kwa siku unaweza jikuta unahitaji kucharge hata mara mbili!

mkuu hii mbona ipo kwenye product za zte walikua wanaziuza kwenye vodashops
 
Mi simu yangu ya sumsung inaprogram za kudowload solar chaji, na sijawahi install, sijui ka zinafanya kazi kweli.

huo ni ujambaz mkuuu! ku download charge? sishangai coz kuna mtu keshawah sema "i won't be impressed with technology until i can be able to download food"
 
huo ni ujambaz mkuuu! ku download charge? sishangai coz kuna mtu keshawah sema "i won't be impressed with technology until i can be able to download food"

nimeipenda hii " I won't be impressed with technology untill I can be able to download foo" sijui hata kafikiria nn kusema kitu kama hiki.
 
Lakini mbona mie niliona solar charger zinauzwa Dubai mwaka 2005. Nothing new here.

Not dubai tanzania zipo mi niliziona dodoma 25,000 sema ni za kichina nani aamini? Hapa kikubwa ni kwamba manufacture mwenyewe katoa so umeona difference?

Nikupe mfano mdogo mimi na wewe tumeenda dukani tukanunua nokia wote tukapewa warranty ya mwaka mmoja and then kurudi nyumbani nikachukua solar charge ya nokia nkachaji na wewe ukachukua solar charge ya kichina.

Simu zetu zikiharibika we ukienda hawakulipi wala hawakutengenezei lakini mimi lazma wanihudumie kwa sababu ipo recognised tayari.
 
mkuu hii mbona ipo kwenye product za zte walikua wanaziuza kwenye vodashops

Katika kusoma zaidi nokia walikua wakwanza kutoa solar simu miaka ya 90 ilikua inaitwa most valuable phone under the sun kipindi hicho japo lilikua tofali

1611_solar.jpg


But nlichokujua kujua baadae solar za inbuilt zimefeli na miaka ya karibuni nokia wakafanya research tena zikafeli tena ndo mana unaona simu zake hazizalishwi

I hope research zaidi zitafanyika
 
Not dubai tanzania zipo mi niliziona dodoma 25,000 sema ni za kichina nani aamini? Hapa kikubwa ni kwamba manufacture mwenyewe katoa so umeona difference?

Nikupe mfano mdogo mimi na wewe tumeenda dukani tukanunua nokia wote tukapewa warranty ya mwaka mmoja and then kurudi nyumbani nikachukua solar charge ya nokia nkachaji na wewe ukachukua solar charge ya kichina.

Simu zetu zikiharibika we ukienda hawakulipi wala hawakutengenezei lakini mimi lazma wanihudumie kwa sababu ipo recognised tayari.

......Ni sawa kaka. Mie sijawai ona warranty zinafanya kazi hapa Tanzania. Hivi huku Ngara kwetu kitu kikiharibika kweli nani anajua habari za warranty???
Simu hizi za nokia tena original wanauza machinga unataka kuniambia zina warranty?
Nimecheka sana.
Well nilichosema charger za solar za simu whether ni nokia au nini sijui au ni ya third party manufacturer niliziona Dubai mwaka 2005 kwa hiyo suala la charger za solar hilo sio jambo geni!!! Ila niseme tu makampuni yanayotengeneza simu yalikuwa nyuma tu ku invent technology na sasa wame copy and paste. Hii ndio ilikuwa maana yangu!
 
......Ni sawa kaka. Mie sijawai ona warranty zinafanya kazi hapa Tanzania. Hivi huku Ngara kwetu kitu kikiharibika kweli nani anajua habari za warranty???
Simu hizi za nokia tena original wanauza machinga unataka kuniambia zina warranty?
Nimecheka sana.
Well nilichosema charger za solar za simu whether ni nokia au nini sijui au ni ya third party manufacturer niliziona Dubai mwaka 2005 kwa hiyo suala la charger za solar hilo sio jambo geni!!! Ila niseme tu makampuni yanayotengeneza simu yalikuwa nyuma tu ku invent technology na sasa wame copy and paste. Hii ndio ilikuwa maana yangu!

Anha hapo nimekuelewa

Mkuu warranty zinafanya kazi mbona kuna maduka kibao yapo certified unakuta kuna kibao juu cha manufacture husika kama ni nokia au samsung na watu wengi wanarudisha then wanatengenezewa au wanabadilishiwa
 
Hi haiwezekani kutengeneza simu ambayo itakuwa na inbuilt solar panel kwa ajili ya kujicharge? Kama zinavyokuwa baadhi ya calculators! Kwa uzoefu wangu battery imekuwa ni tatizo sana kwa simu nyingi (hasa hizi za 'kisasa' zaidi).....kila siku ni lazima ucharge simu na wakati mwingine kwa siku unaweza jikuta unahitaji kucharge hata mara mbili!

simu zipo mfano iphone ina software unayofanya kioo kitumike kama sora pia simu ya htc nyingi huitaji kuwa na chaja, pia htc wamefika mbali sana hata kelele zinachaji simu. Ni pesa yako tu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom