Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Jamani wataalamu wa maujanja hebu tumwagieni na sisi hapo ipo zaidi? Sonyericsson experia s na nokia lumia 920
Nawasilisha
Nawasilisha
Gsmarena wazushi ni android fan boys wapo biased sana.
The verge ndo mwendo mzima jamaa nawakubali sana hao
The verge mkuu wanadeal na simu gani?
naona nokia wamefail kupunguza weight. Nafikiri ndio itakuwa device heavy kuliko other high end smartphones