mgunda1990
Member
- Jul 19, 2012
- 73
- 4
Salam,ndugu zanguni nimeulizia bei ya cm hii kwa midcom east,wameniambia ni 173000..naomben mnishaur kwa yoyote aliewah kutumia au anatumia vip inafaa?kama haifai naomba mnipe muongozo wakuu!Natanguliza shukrani!