JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 1,889
- 1,127
Hizi simu bana majanga kweli
1. Hazina option na 3g only zina highest connection ambayo unachagua 3g lkn hata km uko katikati ya jiji inakuletea 2g tu
2. Network (internet) sharing haikubali kila cku unaambiwa current unavailable hata ikikubali ni dakika tano inakata.
3. Internet yake haipo stable hata kama kuna 3g connection hutaweza kufungua hata Google hadi uzime uwashe au usubiri sana.
4. Huwezi ukadownload file au program afu uje uihamishie kwenye computer. Inakubali kudownload nyimbo, pdf au office files.
5. Ila chaji inakaa sana lkn syo nzur kwa mtu mpenda net.
1. Hazina option na 3g only zina highest connection ambayo unachagua 3g lkn hata km uko katikati ya jiji inakuletea 2g tu
2. Network (internet) sharing haikubali kila cku unaambiwa current unavailable hata ikikubali ni dakika tano inakata.
3. Internet yake haipo stable hata kama kuna 3g connection hutaweza kufungua hata Google hadi uzime uwashe au usubiri sana.
4. Huwezi ukadownload file au program afu uje uihamishie kwenye computer. Inakubali kudownload nyimbo, pdf au office files.
5. Ila chaji inakaa sana lkn syo nzur kwa mtu mpenda net.