NOKIA amefeli sana kwa simu za Lumia WP

NOKIA amefeli sana kwa simu za Lumia WP

GOOGLE

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
1,889
Reaction score
1,127
Hizi simu bana majanga kweli
1. Hazina option na 3g only zina highest connection ambayo unachagua 3g lkn hata km uko katikati ya jiji inakuletea 2g tu

2. Network (internet) sharing haikubali kila cku unaambiwa current unavailable hata ikikubali ni dakika tano inakata.

3. Internet yake haipo stable hata kama kuna 3g connection hutaweza kufungua hata Google hadi uzime uwashe au usubiri sana.

4. Huwezi ukadownload file au program afu uje uihamishie kwenye computer. Inakubali kudownload nyimbo, pdf au office files.

5. Ila chaji inakaa sana lkn syo nzur kwa mtu mpenda net.
 
Android OS kwa swala internet iko safi zaidi. ukilinganisha na uhuru unaokosekana katika WP
Android ni simu huwezi kuilinganisha na hizi WP8, Internet sifuri, niliuza Galaxy yangu nkanunua lumia 1020 ila imenikifu ntaiuza hata kwa bei ya hasara.
 
Mi tangu Nokia waiue Symbian, sina habari na kwenye simu za WP, maana hii os naichukia sana
 
Android ni simu huwezi kuilinganisha na hizi WP8, Internet sifuri, niliuza Galaxy yangu nkanunua lumia 1020 ila imenikifu ntaiuza hata kwa bei ya hasara.

Mkuu mimi naitaka sana utaniuzia kiasi gani?
 
Wajuzi wa nokia hebu waje wamtulize huyu ndugu naona anaelekea kukata tamaa sana!
 
kaka why mnanunua windows phone halafu mnatafuta support kwenye website zenye watu wanaotumia android? lazima utaichoka sababu imetengenezwa kufanya vitu ambavyo android haiwezi kufanya sasa wewe kama unataka windows phone iwe android utakesha. sababu before kuomba msaada tayari ushaconclude hivyo ulivyovitaja havipo.

1. kueka 3g only.
android yenyewe imepata juzi tu hii option android zote za nyuma zilikua hamna sishangai os mpya ikawa haina. lakini kuonyesha kwamba hujatafuta solution kwenye site za windows phone ni kwamba hichi kitu ni common na kina solution kueka 3g only

nakushauri nenda wpcentral utapata solution ya kila namna. na solution yako ya kueka 3g only hii hapa.
Lumia 1020 ##3282 field test menu - Windows Phone Central Forums

2. swali la internet sharing kukataa solution yake ni hao hapo juu yaani field test kama umefanikiwa kueka 3g only ujue pia hapa itakubali. na pia kuna case watu wananunua simu za atnt au verizon au vodaphone mitandao ya majuu wanalock tethering ikija huku inakataa hadi uifanyie tweak.

3.kaka ukisema internet haipo stable ujue simu yako ndo ina matatizo sababu ni hii. lumia 1020 inatumia snapdragon s4 chip hii chip inatumika kote kote kwenye android na wp. adapter ya network ya lumia 1020 ni sawa na ya moto x, sawa na ya hizi xperia zote sawa na za samsung na wengine. huenda eneo lako huna network fanya research moja change line tigo, voda na airtel ujue tatizo ni simu au mtandao.

4. kaka ukidownload file ambalo halitambuliki kwenye windows phone linapotea ila bado lipo kwenye simu, unapoconect kwenye computer simu yako inakuwa mass storage utaona mafile yote. ukitaka kudownload mafile yaresume na mafile makubwa tumia uc browser halafu ukiconect simu na pc utaona mafolder yanatokea

nenda hapa kuona mass storage
WP8 Drag & Drop File Storage Detailed : My Nokia Blog
 
Last edited by a moderator:
Hizi simu bana majanga kweli
1. Hazina option na 3g only zina highest connection ambayo unachagua 3g lkn hata km uko katikati ya jiji inakuletea 2g tu

2. Network (internet) sharing haikubali kila cku unaambiwa current unavailable hata ikikubali ni dakika tano inakata.

3. Internet yake haipo stable hata kama kuna 3g connection hutaweza kufungua hata Google hadi uzime uwashe au usubiri sana.

4. Huwezi ukadownload file au program afu uje uihamishie kwenye computer. Inakubali kudownload nyimbo, pdf au office files.

5. Ila chaji inakaa sana lkn syo nzur kwa mtu mpenda net.

lumia ipi hiyo mkuu unaongelea..
 
Kafel kwako tu.....tatizo uko adicted na android.....unataka window phone ifanane na android wakati ni vitu viwili tofauti....jaribu kutumia forums za window phonr utapats ushauri wa bure kea matatizo yako....
 
kaka why mnanunua id? lazima utaichoka sababu imetengenezwa kufanya vitu ambavyo android haiwezi kufanya sasa wewe kama unataka windows phone iwe android utakesha. sababu before kuomba msaada tayari ushaconclude hivyo ulivyovitaja havipo.

1. kueka 3g only.
android yenyewe imepata juzi tu hii option android zote za nyuma zilikua hamna sishangai os mpya ikawa haina. lakini kuonyesha kwamba hujatafuta solution kwenye site za windows phone ni kwamba hichi kitu ni common na kina solution kueka 3g only

nakushauri nenda wpcentral utapata solution ya kila namna. na solution yako ya kueka 3g only hii hapa.
Lumia 1020 ##3282 field test menu - Windows Phone Central Forums

2. swali la internet sharing kukataa solution yake ni hao hapo juu yaani field test kama umefanikiwa kueka 3g only ujue pia hapa itakubali. na pia kuna case watu wananunua simu za atnt au verizon au vodaphone mitandao ya majuu wanalock tethering ikija huku inakataa hadi uifanyie tweak.

3.kaka ukisema internet haipo stable ujue simu yako ndo ina matatizo sababu ni hii. lumia 1020 inatumia snapdragon s4 chip hii chip inatumika kote kote kwenye android na wp. adapter ya network ya lumia 1020 ni sawa na ya moto x, sawa na ya hizi xperia zote sawa na za samsung na wengine. huenda eneo lako huna network fanya research moja change line tigo, voda na airtel ujue tatizo ni simu au mtandao.

4. kaka ukidownload file ambalo halitambuliki kwenye windows phone linapotea ila bado lipo kwenye simu, unapoconect kwenye computer simu yako inakuwa mass storage utaona mafile yote. ukitaka kudownload mafile yaresume na mafile makubwa tumia uc browser halafu ukiconect simu na pc utaona mafolder yanatokea

nenda hapa kuona mass storage
WP8 Drag & Drop File Storage Detailed : My Nokia Blog

mkuu hizo ##3282 haifanyi kazi uki upgrade kwenda W8 ni possible ikiwa na W7.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom