ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,496
- 2,485
We ndie ulie somea ujinga. Hebu angalia ulichofanyaWewe ndo umelala uliza simu gani imeweka historia ya mauzo duniani kwa wakati wote. Nyie ndo mlisomea ujinga
We ndie ulie somea ujinga. Hebu angalia ulichofanyaWewe ndo umelala uliza simu gani imeweka historia ya mauzo duniani kwa wakati wote. Nyie ndo mlisomea ujinga
Ina redio. Na inacheza game piaa. Ina games nzuri sana za miaka ileeKukaa na Chaji muda mrefu hii ni kwasababu ilikuwa ni ya kutumia kwa kupiga/kupokea na kutuma sms.
Baada ya hapo hakuna chochote ulichoweza kuchezea na kikamaliza chaji.
Hata radio ilikua haina.
Tuliita Jeneza.
Daah kwa pesa hiyo unapata y3 ya kiswahil na change inabakNakumbuka hiyo simu aliinunua mzee wangu kwa laki moja na elfu ishirini.
Enzi hizo hakuna cha y3...Daah kwa pesa hiyo unapata y3 ya kiswahil na change inabak
Mkuu nikutake radhi sikukulenga wewe ni huyo maamuma.We ndie ulie somea ujinga. Hebu angalia ulichofanya
Hakuna shidaMkuu nikutake radhi sikukulenga wewe ni huyo maamuma.
mkuu weka na picha tuikumbuke uzuri wengine hizo namba hatuzijui
Duh! Simu ilitoka 2001 wewe ukainunua 1999, umetisha mkuu.!Hiyo simu nilinunua mwaka 1999. Nilidumu nayo kwa miaka 7. Walipoitungia Nina JENEZA nikaiweka ndani,ninayo.
1999 hii simu ilikuwa imeshatoka ? Nakumbuka Nokia Ringo au Siemens c25 na baadae c35 ndio zilitoka miaka ya 2000 mwanzoniHiyo simu nilinunua mwaka 1999. Nilidumu nayo kwa miaka 7. Walipoitungia Nina JENEZA nikaiweka ndani,ninayo.
kiwanda cha smartphone pekee ndio kiliuzwaThanks
Lakini nilisikia kuwa kiwanda chao kiliuzwa kwa Microsoft kama sijakosea sana
Kwanini soko liwe katika nchi hizo tu kwa kuanzia "According to reports, the phone will initially be available only to European and North American consumers and will cost €59, significantly less than its original price in 2000 of £129"
Hua sipendi watu wanapokua wanajadili kuhusu simu halafu wewe unakuja kututajia sijui midudu gani hiyoDaah kwa pesa hiyo unapata y3 ya kiswahil na change inabak
Kalenda yake inaenda kinyume nyume huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh! Simu ilitoka 2001 wewe ukainunua 1999, umetisha mkuu.!
Naikubali sanaView attachment 470752 Hii ni miongoni mwa simu iliyouzwa kwa wingi duniani kuliko simu nyinginezo.
Simu ya Nokia 3310 iliingia sokoni miaka 17 iliyopita na ikaachwa kutengenezwa tena. Inakadiriwa kuwa simu 126 million ziliuzwa mpaka simu hizo zilipokoma kutengenezwa.
Sifa kuu za simu hizi ilikuwa ni uimara, kukaa na chaji muda mrefu na nyinginezo.
Simu hii inarudi tena sokoni ikiwa imeongezewa vionjo vya soko la kisasa na unafuu wa bei.
Je, unaweza kuitumia tena simu hii au ni vyema kuisahau kabisa?
Inakukumbusha nini?