njunwa wamavoko Mwl.RCT khalfan56 chief-mkwawa na wengineo, nna maswali machache hapa kuna kitu nnataka kukifanya ila nataka kwanza nipate mwanga
bootloader ina control kernel na recovery, sawa?
kernel ina control rom
bootloader tuki unlock means tunaweza kuifanya chochote rom, ikiwemo kuroot, kuweka custom recovery na vinginevyo...right?
swali langu, ni sehemu gani ya software ya simu ambayo inakuwa network locked (eg kwenye modem za huawei uwa tunaflash na stock firmware inakuwa unlocked) ?
kama hamjanielewa, nauliza ni kipi ambacho uwa kinakuwa network(carier) locked kati ya bootloader, recovery, kernel au rom kuzuia kubadili mtandao
je, kuweka stock rom(generic/unbranded) kwenye simu itasaidia ku unlock mtandao?