Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 477
- 1,017
No Reform, No Election inakwenda vizuri na muda SI mrefu mabadiliko makubwa yanakwenda kutokea katika kupiga kura, utaratibu wa Tanzania Ili uweze kupiga kura ni lazima uwe unejiandikisha katika daftari la kidumu la wapiga kura na pia inatakiwa uwe umehakiki taarifa zako.
Ni kweli tunatakata mabadiliko ya kiuongozi ila je Leo tukiambiwa tukapige kura kwa utaratibu utakaokuwa umeboreshwa Ili kupata viongozi tunaowataka je tupo tayari? Watanzania ni kama mill 29 hadi 30 ndo wamejiandikisha katika daftari, walioboresha taarifa zao ikiwa na maana kuwa hao ndo wenye sifa za kupiga kura sidhani hata kama wanafika mill 25 hadi sasa, je vijana mnaotaka mabadiliko mmetekeleza wajibu wenu? Isijekuwa mbwembwe ni nyingi ila wajibu hamtekelezi. Zaidi chadema mnatakiwa kuhakikisha vijana wamehamasika, wamejiandikisha na Wana uwezo ku drive haya mabadiliko. Hakuna haki bila wajibu.
Ni kweli tunatakata mabadiliko ya kiuongozi ila je Leo tukiambiwa tukapige kura kwa utaratibu utakaokuwa umeboreshwa Ili kupata viongozi tunaowataka je tupo tayari? Watanzania ni kama mill 29 hadi 30 ndo wamejiandikisha katika daftari, walioboresha taarifa zao ikiwa na maana kuwa hao ndo wenye sifa za kupiga kura sidhani hata kama wanafika mill 25 hadi sasa, je vijana mnaotaka mabadiliko mmetekeleza wajibu wenu? Isijekuwa mbwembwe ni nyingi ila wajibu hamtekelezi. Zaidi chadema mnatakiwa kuhakikisha vijana wamehamasika, wamejiandikisha na Wana uwezo ku drive haya mabadiliko. Hakuna haki bila wajibu.