PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,059
- 1,133
No Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Soma Pia:
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Soma Pia:
- Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
- Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa