No orchid for Ms. Wema Sepetu

No orchid for Ms. Wema Sepetu

Upinzani hawana la kusaidia nchi hata uhalifu wanautetea kwali hawa ndio walaji haswaaaa
mkuu mharifu mahakama pekee imepewa jukumu la kumtangaza sio police/makonda...mtuhumiwa ana haki zake kabla hajapelekwa mahakamani.utawala huu hauzijari haki zao.
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
Afadhali anayehukumiwa ni mwana ccm,angekuwa wa chama chetu cha gia nyingi nyingi tungesema mengi.
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
wema alijua kuw kujibana na ccm ndo mambo take yatakaa sawa sasa hivi ccm imebadilika hawataki ujinga tena ila bado manguli wa unga wamo ndani ya chama ndo maana hata kina wema wakawa wanakimbilia huko
 
Mimi nachojua ni kwamba wauza dawa za kulevya ndio wafadhili wakuu wa CCM. Sasa je, ni kweli mnakusudia kuhangaika nao wote au wengine mtawapotezea?
 
Toka hapa na maneno yako ya kipuuzi ukiwa mwana CCM siyo tiketi ya kuvunja sheria mnalalamikia demokrasia kila siku wakati mkurungenzi wa kampuni yenu amenga'ang'ani uenyekiti toka chama kilipoanzishwa.
Ukitaka kummulika nyoka anzia miguuni mwako, angalia huko unaposema Zanzibar hivi Hamadi NDIYO ANAFAA KUGOMBEA URAIS ZBAR PEKE YAKE TU WENGINEE HAKUNA? HALAFU MNAROPOKA DEMOKRASIA, DEMOKRASIA IANZIE KWENYE VYAMA VYENU ILI NA SISI TUONE MFANO KWENU HIVI NI KWELI HAMNA AKILI WOTE KWENYE HIZO KAMPUNI NJAA ZENU ISIPOKUWA MBOWE NA HAMADI??? BORA MNGEKAA KIMYA KULIKO KULETA UTUMBO WENU HAPA WATU TUKO BUSY NA ISSUE ZA MAANA WEWE UNAANZA KULETA UJINGA WAKO HAPA.

Naona wewe ndiye unayeleta utumbo, kwa nini usijibu hoja kwa hoja
 
Aisee makonda amenifurahisha sana. Yaani kwa mara ya kwanza naanza kuielewa CCM sasa na kuikubali kiaina. Yaani hafagiliwi mtu mzee usawa huu..

Safi sana makonda.

Jamani ikitokea makonda akagombea uraisi am on his side
 
Mimi nachojua ni kwamba wauza dawa za kulevya ndio wafadhili wakuu wa CCM. Sasa je, ni kweli mnakusudia kuhangaika nao wote au wengine mtawapotezea?
mkuu mpaka pale hawajakamata wala kutaja wauza unga nguli.wametaja wasanii mateja au wasambazaji wadogo kama kweli.
 
Aisee makonda amenifurahisha sana. Yaani kwa mara ya kwanza naanza kuielewa CCM sasa na kuikubali kiaina. Yaani hafagiliwi mtu mzee usawa huu..

Safi sana makonda.

Jamani ikitokea makonda akagombea uraisi am on his side
Mkuu waliotajwa hakuna mnufaika wa hizo dawa.wote wamepanga nyumba wengine wanaishi kwa wazazi wao.wale maconcord wa hiyo biashara hawajatajwa bado.pia swala sio kutaja.peleka mahakamani kama una ushaidi
 
Kwahiyo wewe unaona kuikampenia ccm ni justification ya kula au kuuza ngada??? Na una maanisha ni afadhari angefanikisha Lowasa aingie madarakani kwasababu asingeisoma namba Na angeendelea kuuza Na kutumia ngada??
Huu upinzani ni hovyo kabisa!!
Umeelewa alichoongea mleta mada au umekurupushwa.Wema hauzi unga Wema anauza papuchi Ukawa tunacheka sana kihere here cha Wema kwisha chote
 
mkuu mpaka pale hawajakamata wala kutaja wauza unga nguli.wametaja wasanii mateja au wasambazaji wadogo kama kweli.
Na ndicho kilichokiona pia. Wanatuchezea akili tu. Hata hao kina Wema wataachiwa tu kwa sababu hawana ushshidi. Makonda anssema wametajwa! Sasa utawapeleka mahakamani kwa ushahidi gani? Hearsay?
 
Mkuu waliotajwa hakuna mnufaika wa hizo dawa.wote wamepanga nyumba wengine wanaishi kwa wazazi wao.wale maconcord wa hiyo biashara hawajatajwa bado.pia swala sio kutaja.peleka mahakamani kama una ushaidi
Maconcord ili kuwakamata inabidi kuanzia chini kabisa. Ili kuwa na ushahidi uliojitosheleza na ili kuwaweka hatiani.

Huu ni mwanzo mzuri. Wacha wahojiwe. Wao ndio watatupeleka huko kwa hao mababa zao..


Big up makonda. Keep going brother
 
Naona wewe ndiye unayeleta utumbo, kwa nini usijibu hoja kwa hoja
mkuu takwimu zinaonyesha kati ya watanzania kumi wanne ni machizi huna haja ya kujibu wachangiaji kama huyo bwana hajitambui msamee buree.
 
Maconcord ili kuwakamata inabidi kuanzia chini kabisa. Ili kuwa na ushahidi uliojitosheleza na ili kuwaweka hatiani.

Huu ni mwanzo mzuri. Wacha wahojiwe. Wao ndio watatupeleka huko kwa hao mababa zao..


Big up makonda. Keep going brother
umeongea point sana.lakini huna habari kuwa drug dealer hawataji mtu.hata ukitajwa unga huna utafungwa? pia unajua mtuhumiwa ana haki ya kukaa kimyaa?
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
Angeshikwa Roma mungedai wapinzani wanaonewa,CCM na serikali yake haionei mtu bali hufuata haki,watu wa Ufipa mnashangaa kuona Sepetunga akiwekwa lupango angekuwa ndio huyo mpambe wa Mbowe ungesikia Mbowe anaonewa au anatafuatwa fuatwa.Hilo na liwe somo kwenu nyie mashabiki nyumbu
 
Angeshikwa Roma mungedai wapinzani wanaonewa,CCM na serikali yake haionei mtu bali hufuata haki,watu wa Ufipa mnashangaa kuona Sepetunga akiwekwa lupango angekuwa ndio huyo mpambe wa Mbowe ungesikia Mbowe anaonewa au anatafuatwa fuatwa.Hilo na liwe somo kwenu nyie mashabiki nyumbu
mkuu upeo wako wa kuelewa umeishia hapo? point zangu ni mbili mosi utawala wa sheria kutoheshimika.watuhumiwa wanahaki wapewe.pili lumumba haijari watu.mambo ya vyama potezea
 
Back
Top Bottom