No negotiation!

Monstgala

JF-Expert Member
Aug 25, 2009
1,079
1,034
1023315.jpg
 
great piece of an art! on the contrary there is nothing to talk about
love the picture of the police man...his uniform having a piece of ccm logo indicates how our police force is a ccm counterpart
 
Kama mazungumzo yanayopendekezwa na CCM ni ya kutafuta namna ya kuwaua Watanzania zaidi labda waseme, hakuna muda mchafu wa kuzungumza na CCM kwa matarajio ya kupenyeza MIAFAKA kama walivyofanya Zanzibar na kukiua kabisa umashuhuri wa CUF nchini.

Mazungumzo pekee ni kuwapa fursa wananchi wote kujiandikia katiba kupitia mchakato unaopitia bungeni na wala si vinginevyo.

Damu hizi kamwe hazitopotea tu.
 
Also that Police/CCM guy is still holding a gun and he is steping on the citizen which means he can still fire his gun and he continues causing pain and yet he want mazungumzo.
 
sisiemu wanakuwa na akili za kishetani sana wakati mwingine.
 
cdm do not negotiate with killers,they killed our brothers and sisters,ukiua kwa upanga utauwawa kwa upanga,,,,
 
Back
Top Bottom