Anahitaji lobbist/negotiator wa kike dar.

Anahitaji lobbist/negotiator wa kike dar.

Rwaz

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,279
Reaction score
4,108
Masuala ya marketing, lobying, negotiations yana watu maalum wenye sifa maalum zaidi ya vyeti.
Kiukweli hata mwonekano, kujiamini na lugha ni kati ya sifa hizo.
Nahitaji lady wa kumpa kazi maalum kwa malipo maalum.
Kigezo cha kumchanganya target kwa urembo kisidharaulike!
 
Back
Top Bottom