me nilishawahi kukutana na kituko kipo kama tunda za ubuyu nilitoka baruti mabo gani hayo
km ulivyofanya jana.
duh! Wanaona wadada nanyi mmepata uwanja wa kuponda lol.
Ngoja babu Asprin aje kuwapa somo.
Wewe sindio mpatanishi, hebu patanisha hapa, kaka wa watu kachanganyikiwa, mshauri afanyeje