JICHO LA 3
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 356
- 62
mmmh,bora nigune tu.wakaka kimyaaaaaaa
Wanalo basi.....................
utulivu umechukua nafasi yake
mmmh,bora nigune tu.wakaka kimyaaaaaaa
wanaume wengi siku hizi ushahidi tu, hamna kitu. nahisi ubishololo mwingi and maybe vyakula. hakuna mwanaume wa kukutoa jasho siku hizi, sana sana tunawatoa sisi kwa knockout. Utafiti kidogo kabla ya ndoa muhimu usije mwanamke ukaanza kutafuta nyumba ndogo. tena wale zero ndio kutwa kujisifia "nikikupata wewe, hutanisahau" mpeleke 6 kwa 6 sasa, dkk 3 nyingi... doro....
huyo mdada asioloewe na huyo mlala kifuani, itam cost...
watakuwa wanafanya kwa macho...watakuwa wanaangalia mikanda ya wakubwa then wana assume ndo wanafanya wao...
kama jamaa jogoo hawiki si atakupiga kidole tu we mjinga, mbona nyie wanawake mnajifanya mnalaumu sana wanaume? ukioana na jamaa jogoo haliwiki, basi kubali kupigwa finger.....mbona wazungu wananunua hadi dildo wakati wameolewa na wanaume na wanaenda nazo dildo kitandani kwa bwanake....si manake bwanake jogoo bovu? kama bovu, anakupga finger, hata wewe umepigwa finger sana tu we mdada ninavyokuona, wala usibishe....kwenye foreplay kidole cha...wako hakijawahi kuingia huko wewe, psssssNdo maana wa2 wanaonjana kabla ya ndoa japo hairuhusiwi
ndo hayohayo unachumbiwa na m2 anakwambia mapenzi mpaka tufunge ndoa kumbe jamaa jogoo wake hawiki.
m ready...set tarehe ya kwenda kwa paroko..
shela ntaazima kwa faiza fox...shela rangi ya kijani...na nkonkoko za njano....
mhhh hatari kuliko.
heri uolewe na maskinpuuuuuu lakin ANAPUMZI PLUS MAKUNO HEVI MUKITANDA... kuliko kuwa na mtu anayeharisha harisha sha.ha.wa km uyo....
aikubali kufunga ndoa na wa sampo io cz kutoka nje apo garantee cz autaweza daily utiwe hamu tu wakat kumalizia hajui.awez.
ampe mda wa kujipanga .kujitune fresh..IKISHNDIKANA MWAYA CHAPA LAPA....hakuna kitu kibaya dubian km kuwa na ndoa mbili...moja ya mmeo ndani wa ndoa..na nyingne ile ya nje..yule special wa kukukuna tu...AKIMBIE.LASIVYO AKUBALI KUWA 1DAY ATAMCHETA MUMEWE WAKAT KITU ICHO SI KIZURI.MUNGU APEND
Hajui bingwa hajisifu,husifiwa na mwanaume hasifiwi kula wala kupendeza kazi tu kunako ebo!yaani hapa anajiona kakamilika kila idara mwanzo hadi umaliziaji
ndio maana anajisifia
kumbe kichefuchefu kwa mwezie.
kama jamaa jogoo hawiki si atakupiga kidole tu we mjinga, mbona nyie wanawake mnajifanya mnalaumu sana wanaume? ukioana na jamaa jogoo haliwiki, basi kubali kupigwa finger.....mbona wazungu wananunua hadi dildo wakati wameolewa na wanaume na wanaenda nazo dildo kitandani kwa bwanake....si manake bwanake jogoo bovu? kama bovu, anakupga finger, hata wewe umepigwa finger sana tu we mdada ninavyokuona, wala usibishe....kwenye foreplay kidole cha...wako hakijawahi kuingia huko wewe, psssss
Mwambie huyo kaka hiviiii, hakuna ndoa bila tendo la ndoa lililokamilika. Mwanamke anatoka kwao ambako anapata kila kitu anakuja kwako kwa ajili ya kupata tendo hilo. Kwa hiyo unapaswa kujua jinsi ya ku du na kumfurahisha mwenzio. Jifunze kwa kusoma vitabu, kupata ushauri kutoka kwa wanaume wakubwa walio kwenye ndoa au ushauri wa kitabibu pale inapobidi.
You are veree veree smati...Mwambie huyo kaka hiviiii, hakuna ndoa bila tendo la ndoa lililokamilika. Mwanamke anatoka kwao ambako anapata kila kitu anakuja kwako kwa ajili ya kupata tendo hilo. Kwa hiyo unapaswa kujua jinsi ya ku du na kumfurahisha mwenzio. Jifunze kwa kusoma vitabu, kupata ushauri kutoka kwa wanaume wakubwa walio kwenye ndoa au ushauri wa kitabibu pale inapobidi.
umeona ennhh?
sasa ya nini kukaa na mbwa asiyebweka?
mbu aasiyeng'ata?
uyo si mbwa...na magorofan atufug MABATA...mtu anakojoa kojoa tu bila mpangilio ahh ningekuwa mimi nakwambia ningeshuka kitandani ningepga pushap tatu..(wakt uo yeye asi ashalala km kawaida yake afta mkojo anaslip) bas nakwambia afta pushap ningempandia apo kitandani ni ngumi za mgongo.kiuno.shingo ..akiniuliza vp una mashetan ningemwambia ndiyo..kayapandisha iweje kashindwa kuyarushisha?
ningemchapa acha nakwambia...au wakat amelala ningemfunga mikono yake kimya kimya kitandani afu ningechukua mkanda nakwambia ningemrabua...ahh mambo gan aya ya kumfanya mwana wa mwenzie aende akajipige keybod choon....yahuuu?
angentambua mbona...
so you are justifying cheating kwa mwanamke sio? sawa banani bora huyo mdada amechukua uamuzi wa kumtema jamaa! coz kuishi kwenye ndoa na mtu wa kukupiga mhuri kila day haiwezekani, maana wakishaoona hakuna njia lazima demu atacheat, ni vyema waachane mapema, Na huyo jamaa atajifunza so next time akipata mwingine atabadilika.
Namuonea huruma huyo jamaa,inawezekana asiwe na tatizo ni pschology tu akitulia anaweza piga kazi vizuri.Na wewe Asia hii generalization sio nzuri kina wanaume tunapiga kazi unaweza sikia harufu ya baruti chumbani kwa hiyo tafadhali sana