bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,113
- 3,116
Dada zetu wale wanaojiita boss ladies hapa mjini watataabika saaana baada ya wanaowafadhili na kuwaweka mjini kwa kuwapa kiburi cha fedha kubanwa vilivyo na serikali ya awamu ya tano...
Amini usiamini wafadhili wa Hawa mastaa uchwara wengi wao ni wakwepa kodi wazuri , wezi wa serikali sehemu tofauti tofauti, wauza unga na watu wasiopata fedha kihalali.
Sasa hivi tunapoelekea hakuna kupata hela kwa njia haramu tena . shughuli IPO kwa dada zetu wanaopenda mteremko lazma waisome namba penda wasipende.
Mapedeshee lazma wajifiche maana ukionekana ni MTU wa kuhonga na kujiachia sana utasema ulipotoa Hizo hela na kama umelipa kodi inavyopaswa.
Hakuna mashauzi na birthdays za kifahari zitapungua mjini...😂😂😂😂😂😂😂😂
HAPA KAZI TU .
Amini usiamini wafadhili wa Hawa mastaa uchwara wengi wao ni wakwepa kodi wazuri , wezi wa serikali sehemu tofauti tofauti, wauza unga na watu wasiopata fedha kihalali.
Sasa hivi tunapoelekea hakuna kupata hela kwa njia haramu tena . shughuli IPO kwa dada zetu wanaopenda mteremko lazma waisome namba penda wasipende.
Mapedeshee lazma wajifiche maana ukionekana ni MTU wa kuhonga na kujiachia sana utasema ulipotoa Hizo hela na kama umelipa kodi inavyopaswa.
Hakuna mashauzi na birthdays za kifahari zitapungua mjini...😂😂😂😂😂😂😂😂
HAPA KAZI TU .