No cheating...

Eeeh bana eee tena niko kwenye simu ningekuwa kwenye kpad ningekukamataje we.
 
kwa keybody ya comp ni rahis sana kwangu make nina uwezo wa ku-type barua bila kuangalia kwenye keybody. chezeiya typist weye Excellent. . .
but ni mkono moja,kama ni mikono miwili na mi naweza kutype kwa kufumba macho ila kwa mkono moja ngumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…