umechemka
tatizo ukila samaki mchanga na ugali wa mhogo unajikuta unamaliza ugali mkubwaaaaa......nane nane arusha bhana kwa mama yeyo karibu ule mtori ya ndizi na nyama ya n'gombeExcellent bana,nane nane unailia wapi mkuu? Karibu kwetu kilwa kipatimo uje tule samaki nchanga na ugali wa mhogo.
ezcwlemt