BLUE BALAA JF-Expert Member Nov 30, 2010 1,222 764 Mar 11, 2012 #1 Naomba kujuzwa tafadhali. Ni kwanini namba 13 inasemekana ni namba ya Mkosi?
J JATELO1 JF-Expert Member Oct 31, 2011 1,230 301 Mar 11, 2012 #2 waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia.
waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia.
BLUE BALAA JF-Expert Member Nov 30, 2010 1,222 764 Mar 11, 2012 Thread starter #3 RDI said: waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia. Click to expand... Wewe kama huna majibu kaa pembeni si lazima uandike.
RDI said: waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia. Click to expand... Wewe kama huna majibu kaa pembeni si lazima uandike.