Mitsubish Pajero

Mitsubish Pajero

kaka tivi

Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
20
Reaction score
13
Wakuu
Naomba kujuzwa gari Mitsubish Pajero linachangamoto gani silioni barabarani ukilinganisha na SUV nyingine na ukiangalia bei yake kitonga.

Wataalam naomba udadavuzi wa hili gari. Tafadhali
 
Generation ipi? Weka na picha, mwenyewe natafuta ile short chassis yenye engine ya V6
 
1997-Mitsubishi-Pajero-Evolution-21.jpg

Kama hii. Ubahatishe manual transmission 🙌
 
Zipo nyingi watu wanatumia Generation ya 1 mpaka ya 4. Engine ni zile zile 6G72,6G74 na za diesel 4d56,4m40 matoleo ya kisasa ipo 4m41 Direct Injection hii ndio imewasumbua watu kwenye nozzle na pump haitaki mafuta machafu
 
Back
Top Bottom