TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Mh... sijui nimekosea jukwaa au?/ where is Maria Roza au Ivuga?Umesha wahi kuhudhuria promosheni za Heineken?
kuna mabinti wakatika hao ni balaa.
kila nikiwa bar, halafu Heineken wakiwa wanafanya promotion zao, walah muda wote wa shoo Mzee Juma anakuwa amekasirika kwa hamu ya kuwapata hao mabinti.