Hongera Fazaa isipokua hapo kwenye kuongeza mke.Wife akiwa ana mimba huwa na furahi tu, uwezo wa kumlea mtoto ni nao, sababu za kumzalisha mke wangu nazo, niya ya kumzalisha watoto wengine ninayo, na uwezo wa kuoa mke mwingine azae kama wife ninao :cool2:
Lizzy ukweli ni huu,
Hakuna majibu yanafanana kwa jibu lako. Lakini siku mwanamke akisema ana mimba situation will determine the answer.
1.0 Kama ni mtu aliye katika ndoa na alikuwa amepanga itakuwa ni furaha.
2.0 Kama ni mtu ambaye ana boyfriend/girlfriend ambao wanamalengo mazuri haitakuwa shida sana.
3.0 Kama walikuwa ni watu wanaenyoj tu basi tafrani inaweza kuzuka.
4.0 Katika situation zote 1 - 3 kama hakukuwa na mpango au mimba imekuja kama ajali basi shida inaweza kutokea napo.
Nadhani hizo ndiyo common situation na suspected answers.
Hata hivyo heading ilinishitusha mpaka nikaacha mambo ya Arumeru nikijua umenasa kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeh japokuwa kunasa siyo ajabu wala issue.
Narudi Arumeru karibu Lizzy tumtoe Nassari.
Haijalishi uliikimbia, mliishia kutoa ama mlilea. Siku mwenzio alipokwambia "Nna mimba". . . "Nahisi/nadhani nna mimba!" ulijisikiaje?
Na wewe mdada/mama ulipogundua/hisi una mimba ulijisikiaje?
Mawazo gani yaliwapitia kichwani??
Just CURIOUS. . . .
Lizzy mie nilikuwa nasikai raha sana kila saa nashika tumbo langu halafu nilivyokuwa na akili mbofu mbofu
Nilikuwa natamani tumbo likue hata siku moja mimba ionekane..
Ni raha !
Asante sana sasa nikiongeza kuna kosa gani....Afu simpaka niongeza, mana lazima wife na mama yangu mzazi watanishambulia tu, anavyo dekeshwa mke wangu na mama yangu mzazi utadhani mtoto wake wa kumzaa :cool2:Hongera Fazaa isipokua hapo kwenye kuongeza mke.
Sasa huyo ndio mama mkwe. . .jaribu kama hawajakufukuza nyumbani. LolzzzAsante sana sasa nikiongeza kuna kosa gani....Afu simpaka niongeza, mana lazima wife na mama yangu mzazi watanishambulia tu, anavyo dekeshwa mke wangu na mama yangu mzazi utadhani mtoto wake wa kumzaa :cool2:
Kumbe wakati unabeba mimba ulikuwa huna akili sawa sawa.Lizzy mie nilikuwa nasikai raha sana kila saa nashika tumbo langu halafu nilivyokuwa na akili mbofu mbofu
Nilikuwa natamani tumbo likue hata siku moja mimba ionekane..
Ni raha !
Hahahaha. . .
Alafu? Ilikua kweli au alikua anakuzingua?
mi nilimwambia acha ujinga, nikamwambia we si ulikuwa na yule mchizi kwani umemwambia na yeye!?
Ilibidi nirudi pale tulikostareheshana nikachukue kwanza tarehe pale afu nikalazimisha mpaka tukaenda hosp kucheki. Kweli alikuwa na mimba! Mwanaume kijasho chembamba nikakumbuka toa, jumlisha, zidisha gawanya haikusaidia kitu mwanangu! Binti alikomaa huyo kila siku ntafanyaje maana wazee wakijua noma! Kikao cha wataalamu na mafundi wa kushauri wakanambia kama kweli ulitumia kinga hapo unapigwa changa la macho! Wakanambia kuna kipimo kimoja sasa kinaweza kutoa mwanga! ULTRA SOUND! Si tukaenda mwana! Salaaaaaaaaaaale ana mimba ya miezi 3 wakati tumemegana hata wiki tatu bado! Tuliachania pale pale hospitali!
Haijalishi uliikimbia, mliishia kutoa ama mlilea. Siku mwenzio alipokwambia "Nna mimba". . . "Nahisi/nadhani nna mimba!" ulijisikiaje?
Na wewe mdada/mama ulipogundua/hisi una mimba ulijisikiaje?
Mawazo gani yaliwapitia kichwani??
Just CURIOUS. . . .
Hapa ndo napo paogopa kwenye highlighted , ndo mana najirudi nikitaka kuchukua uamuzi huo.Sasa huyo ndio mama mkwe. . .jaribu kama hawajakufukuza nyumbani. Lolzzz
Nwy. . .We unataka kuongeza ili upate kipi ambacho mkeo hakutimizii? Kama hamna mapungufu usijaribu kurekebisha.
Lizzy ukweli ni huu,
Hakuna majibu yanafanana kwa jibu lako. Lakini siku mwanamke akisema ana mimba situation will determine the answer.
1.0 Kama ni mtu aliye katika ndoa na alikuwa amepanga itakuwa ni furaha.
2.0 Kama ni mtu ambaye ana boyfriend/girlfriend ambao wanamalengo mazuri haitakuwa shida sana.
3.0 Kama walikuwa ni watu wanaenyoj tu basi tafrani inaweza kuzuka.
4.0 Katika situation zote 1 - 3 kama hakukuwa na mpango au mimba imekuja kama ajali basi shida inaweza kutokea napo.
Nadhani hizo ndiyo common situation na suspected answers.
Hata hivyo heading ilinishitusha mpaka nikaacha mambo ya Arumeru nikijua umenasa kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeh japokuwa kunasa siyo ajabu wala issue.
Narudi Arumeru karibu Lizzy tumtoe Nassari.
hii kitu ilimtokea mshikaji wangu wakike basi nikamwambia ailee cha ajabu huu ni mwaka wa pili siioni akijifungua balaa tupu sijui iliishia wapi nakumuuliza naona soo..
Hapa ndo napo paogopa kwenye highlighted , ndo mana najirudi nikitaka kuchukua uamuzi huo.
Kuhusu wife ni super kabisa hakuna problem, basi ni nyege tu zinanisumbua, labda tatulizana siku za mbele :cool2: