nmepotelewa na kitoweo

dah....kumbe cha kwako.....kimenipita hapa sasa hivi....kiko kwenye speed ya 220kmp...........
 
Nikikusaidia kutafuta ujue nakuja kula, ntachangia chumvi, pilipili na thomu
 
dah....kumbe cha kwako.....kimenipita hapa sasa hivi....kiko kwenye speed ya 220kmp...........

Nadhani kalikuwa kanakusanya kasi ya kupaa!!Kalipokupita tu,kakapaa!!!
Itakuwa ngumu kumpata tena
 
Nikikusaidia kutafuta ujue nakuja kula, ntachangia chumvi, pilipili na thomu

njoo ule. tukimaliza nakuwekea wimbo wa mzee yusufu wa "Umekunywe soda yangu utanibeba leo, umekula vyangu leo utalala na mimi". mia
 
Mi mwembamba hivi ntakubeba ntakuweza! Nakula na nnateleza vilevile. Sasa tunaanza na supu ama tunam'banika?
njoo ule. tukimaliza nakuwekea wimbo wa mzee yusufu wa "Umekunywe soda yangu utanibeba leo, umekula vyangu leo utalala na mimi". mia
 
Mi mwembamba hivi ntakubeba ntakuweza! Nakula na nnateleza vilevile. Sasa tunaanza na supu ama tunam'banika?

Wembamba haujarisha. Kwani unanibeba mgongoni?. Mi huwa sio mzito coz nasimamia viwiko. hahahahaaaa...!!!. mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…