bishororo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 254
- 356
Habari wana bodi leo mida ya saa 1 nmeokota takriban sh laki mbili na elfu 20 mitaa ya hapa msimbaz kwakuwa mm ni mwislam safi sitaki kuitumia mpk niitangaze akikosekana mwenyewe naitumbua ajitokeze jaman sambazen kwenye magrup sitk hela bila jasho langu