Mm bwana richard nmeibiwa simu yangu aina ni galaxy S 2 19000 leo asbuh maeneo ya ufundi kurasin. Naomben msaada wenu wa kimawazo km mtawez kuniambia nn cha kufanya.
Ingekua IOS ungeipata kwa kitrack through Ipad
Nichek nikuuzie galaxy note 2,a month now since I bought!Laki 8