black silver
Member
- Sep 21, 2013
- 7
- 1
pole sana dada muombe mungu atakufungulia njia kama hakupangwa kuwa mumeo usilazimishe follow ur heart dada
yes angeniambia for the firt time kwanini alinificha.
yule wa kwanza hakuna kibaya nilichokifanya hadi sasa kashirikisha wazazi wake wamuombee msamaha kwa vile alivonitenda lakini moyo wangu bado haupo tayari
Unampenda baba mtoto?nakushauri urudiane na mzazi mwenzio mlee mtoto wenu!!yule wa kwanza hakuna kibaya nilichokifanya hadi sasa kashirikisha wazazi wake wamuombee msamaha kwa vile alivonitenda lakini moyo wangu bado haupo tayari
kwa mfano ndio angekwambia nina mtoto ungefanyaje!!!!!!
Unampenda baba mtoto?nakushauri urudiane na mzazi mwenzio mlee mtoto wenu!!
jambo gani hilo lilifonya anifiche?Kama wewe alikuelewa na ukamweleza akakubali hali yako naamin na wewe wapaswa kukubaliana na hali hiyo. Pia naamin kuna jambo ulishawahi kulisema ndo lililopelekea kukuficha suala la mtoto.
Sent from my BlackBerry - jamiiforums
Naona uchukue muda utafakari lipi unalotaka kufanya na think whats best for your child!!Kama baba mtoto kajirudi na kaomba msamaha,msamehe hakuna asiye na kasoro wala asiyekosea!!bado moyo wangu hauko tayari kwa kile kilichotokea ingawa anajitahidi sana kunishawishi na mtoto anamlea ka 100%
jambo gani hilo lilifonya anifiche?
What you do now is up to you. He lied about having child
And it wasn't fair to you because now you've again invested your emotions
into the relationship and he's made it into one big lie.......have YOU talked to him!!!
what did he say!!!!
yap' kwanini alinificha ndo wasiwasi wangu ulipo
baada ya kupata taarifa nikamuuliza simle tu like that, yule dada uliezaa nae mtoto yuko wapi utaendelea kunificha mpaka lini? akaanza ni kweli kwa mtu unaempenda isingekuwa rahisi kumwambia mapema nikaona ujingaMpaka hapo hesabu maumivu hakuna mapenzi hapo! Issue yakukuficha kuwa ana Mtt ingeleta maana km ndo malayakwanza kukutana lkn nyie mnajuana kitambo so hakukua na 7bu hiyo hata yy anajua! so hata ukiolewa nae ujue utakua mke waPILI Wapenzi mkishazoeana kuna kipind mwenzio anakuchukulia POA so uctegemee atakuwa km vile mlivyokuwa SHULE 7bu mlipoachana kila m2 alianza Upya sasa chakufanya mBANANISHE aliekupa taarifa za Jamaa kuwa anamtoto huenda ukapata ukweli unaotafuta! KAMA HUJUI UNAKOKWENDA HUWEZI KUPOTE!