Me370
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 985
- 293
Wewe unawaza sana kwa sababu unataka uolewe na mwanaume asiye na mototo ili akulelee huyo wako na ampende huyo wako tu basi.
Kilichokuumiza ni hidden feelings na doubts kuwa maybe hatompenda mtoto wako kama ulivyozani na atampenda wake tuuu.
Kama type unayoitaka (Mwanume asiye na mtoto) bado haujapata kwa nini ukimbilie kuolewa? Be strong tafuta maisha ukiwa safi wanume watakufuata wenyewe. Achana na kuweka ndoa akilini mwako all the time.
Kilichokuumiza ni hidden feelings na doubts kuwa maybe hatompenda mtoto wako kama ulivyozani na atampenda wake tuuu.
Kama type unayoitaka (Mwanume asiye na mtoto) bado haujapata kwa nini ukimbilie kuolewa? Be strong tafuta maisha ukiwa safi wanume watakufuata wenyewe. Achana na kuweka ndoa akilini mwako all the time.