NMB walazimishwe kushusha riba zao za mikopo

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,923
Tayari Benki Kuu walishatangaza kupunguza riba kwa mabenki ili nao washushe kwa wateja wao.
Hapo nyuma riba zilikuwa 20%,
Badae wakaja 18% na 17%

CRDB wameshusha kutoka 17 kwenda 16

NMB wakakomaa na 17,

Sasa leo CRDB wametoka 16 hadi 13%

NMB ndio kwanza hata habari hawana.

Ni kweli NMB ina wateja wengi kuliko benki nyingine lakini haina maana waendelee na unyonyaji wakati wao riba washapunguziwa na BoT.

Serikali iwalazimishe hawa NMB ikiwezekana hadi 9% kutoka hiyo 17% iliyopo sasa
 
Tayari Benki Kuu walishatangaza kupunguza riba kwa mabenki ili nao washushe kwa wateja wao.
Hapo nyuma riba zilikuwa 20%,
Badae wakaja 18% na 17%

CRDB wameshusha kutoka 17 kwenda 16

NMB wakakomaa na 17,

Sasa leo CRDB wametoka 16 hadi 13%

NMB ndio kwanza hata habari hawana.

Ni kweli NMB ina wateja wengi kuliko benki nyingine lakini haina maana waendelee na unyonyaji wakati wao riba washapunguziwa na BoT.

Serikali iwalazimishe hawa NMB ikiwezekana hadi 9% kutoka hiyo 17% iliyopo sasa
Sio rahisi kihivyo hasa ukizingatia kuna benki zingine zina maslahi na wakubwa
 
Tayari Benki Kuu walishatangaza kupunguza riba kwa mabenki ili nao washushe kwa wateja wao.
Hapo nyuma riba zilikuwa 20%,
Badae wakaja 18% na 17%

CRDB wameshusha kutoka 17 kwenda 16

NMB wakakomaa na 17,

Sasa leo CRDB wametoka 16 hadi 13%

NMB ndio kwanza hata habari hawana.

Ni kweli NMB ina wateja wengi kuliko benki nyingine lakini haina maana waendelee na unyonyaji wakati wao riba washapunguziwa na BoT.

Serikali iwalazimishe hawa NMB ikiwezekana hadi 9% kutoka hiyo 17% iliyopo sasa
Una uhakika hata serikali ilipeleka hzo pesa kuwapa au ni propaganda? manake hizi awamu zimejaa mazingaombwe sana, kushusha watashusha lakini kufika 10 perc. ghafla ni mtihani-i am tryin to be realistic
 
Hawa jamaa hawataki kusikia kitu hiyo..dawa Yao ni kuwakimbia
 
Nmb watashusha riba sio muda mrefu wakuu. Muwavumilie, wapeni muda kidogo.

NBC wao wameshuka hadi 14.

Kwenye oligopoly market, mwenzako akishuka bei wewe lazima ushuke, akipanda sio lazima wewe upande.

Nmb hayuko tayari kukimbiwa na wafanyakazi kisa riba, maana hakuna atakae kua tayari kukopa kwa 17% nmb akaacha 13% crdb.

Ni jambo la muda nmb watatangaza kushuka riba.

Hizi bank kubwa kwa sasa ziko kwenye vita kubwa sana ya wateja. Hivyo mabadiliko kidogo ya pricing yana matokeo makubwa sana kwenye soko.
 
NMB inabebwa na serikali.
Has Mabenki ni mifumo ya kinyonyaji ya Kibeberu inayobebwa na mawakala wa Mabeberu walioachiwa utawala na wakoloni baada ya kuwapa uhuru wa Bendera.
Kuna Islamic benk lakini serikali kupitia Mabeberu wanatipiga vita ili wananchi waendelee kubaki kuwa maskini. Kuna watu wenye roho mbaya wanaodhani kuwa umaskini wa wengi kwao ni mtaji kumbe hao wengi siku wakiamka umaskini na ujinga wao utageuka kuwa Kiama Kwa wanyonyaji wachache. Ndio maana kule Afrika kusini waafrika wengi maskini wanawatesa sana matajiri wa Chache na kuwanyima usingizi Kwa sababu ya mifumo mibovu ya kinyonyaji waliyoiasisi .
Mabenki yote yalipaswa yawe na riba isiyozidi 5% . Nchi ya Kijamaa Ina mifumo ya kibepari mibaya kuliko mabepari wenyewe.

Benki zinanyonya wateja na kupata pesa za kufanya maadhimisho na makongamano yasiyo na tija ndio maana watu hawaendi bila posho na motisha.

Bora hata Magufuli aligundua unyonyaji wa Mabenki na mashirika mengine akawa anawadai gawio la serikali.

Jiandaeni TU ipo siku Malema atakua mkubwa wa nchi hii.
 
NMB inabebwa na serikali.
Has Mabenki ni mifumo ya kinyonyaji ya Kibeberu inayobebwa na mawakala wa Mabeberu walioachiwa utawala na wakoloni baada ya kuwapa uhuru wa Bendera.
Kuna Islamic benk lakini serikali kupitia Mabeberu wanatipiga vita ili wananchi waendelee kubaki kuwa maskini. Kuna watu wenye roho mbaya wanaodhani kuwa umaskini wa wengi kwao ni mtaji kumbe hao wengi siku wakiamka umaskini na ujinga wao utageuka kuwa Kiama Kwa wanyonyaji wachache. Ndio maana kule Afrika kusini waafrika wengi maskini wanawatesa sana matajiri wa Chache na kuwanyima usingizi Kwa sababu ya mifumo mibovu ya kinyonyaji waliyoiasisi .
Mabenki yote yalipaswa yawe na riba isiyozidi 5% . Nchi ya Kijamaa Ina mifumo ya kibepari mibaya kuliko mabepari wenyewe.

Benki zinanyonya wateja na kupata pesa za kufanya maadhimisho na makongamano yasiyo na tija ndio maana watu hawaendi bila posho na motisha.

Bora hata Magufuli aligundua unyonyaji wa Mabenki na mashirika mengine akawa anawadai gawio la serikali.

Jiandaeni TU ipo siku Malema atakua mkubwa wa nchi hii.
Wazo lako limeanza kufanyiwa kazi.
 
Tayari Benki Kuu walishatangaza kupunguza riba kwa mabenki ili nao washushe kwa wateja wao.
Hapo nyuma riba zilikuwa 20%,
Badae wakaja 18% na 17%

CRDB wameshusha kutoka 17 kwenda 16

NMB wakakomaa na 17,

Sasa leo CRDB wametoka 16 hadi 13%

NMB ndio kwanza hata habari hawana.

Ni kweli NMB ina wateja wengi kuliko benki nyingine lakini haina maana waendelee na unyonyaji wakati wao riba washapunguziwa na BoT.

Serikali iwalazimishe hawa NMB ikiwezekana hadi 9% kutoka hiyo 17% iliyopo sasa
Market force ... hata usipate tabu pamoja na kiburi chao watashusha t, alternative ni kuwahama t, mbona zipo benki zenye unafuu
 
Inaelekea upeo wako wa kuchakata taarifa ni mdogo sana, anyway nikutoe huko. Ni kwamba chief Hangaya, anazungumza na wakurugenzi watendaji wa mabenki ili kuona namna ya kupunguza riba za mikopo kwa wawekezaji wote. Uwe mkulima au mfanyabiashara. Yote ni katika kuchochea uzalishaji na kukuza ajira ambayo itapelekea watu kuwa na vipato ili kumudu kununua bidhaa hizo zitakazo zalishwa. Nimejaribu kuweka concept ya uchumi kwa lugha rahisi ili watu wote waelewe.
Kwa hiyo kila mtu ni mkulima nchi hii? 🤣 🤣
 
Tayari Benki Kuu walishatangaza kupunguza riba kwa mabenki ili nao washushe kwa wateja wao.
Hapo nyuma riba zilikuwa 20%,
Badae wakaja 18% na 17%

CRDB wameshusha kutoka 17 kwenda 16

NMB wakakomaa na 17,

Sasa leo CRDB wametoka 16 hadi 13%

NMB ndio kwanza hata habari hawana.

Ni kweli NMB ina wateja wengi kuliko benki nyingine lakini haina maana waendelee na unyonyaji wakati wao riba washapunguziwa na BoT.

Serikali iwalazimishe hawa NMB ikiwezekana hadi 9% kutoka hiyo 17% iliyopo sasa
Soko huria...ukiona NMB haifai si uende CRDB?kwan kuna mtu analazimisha ukakope NMB?
 
Tayari Benki Kuu walishatangaza kupunguza riba kwa mabenki ili nao washushe kwa wateja wao.
Hapo nyuma riba zilikuwa 20%,
Badae wakaja 18% na 17%

CRDB wameshusha kutoka 17 kwenda 16

NMB wakakomaa na 17,

Sasa leo CRDB wametoka 16 hadi 13%

NMB ndio kwanza hata habari hawana.

Ni kweli NMB ina wateja wengi kuliko benki nyingine lakini haina maana waendelee na unyonyaji wakati wao riba washapunguziwa na BoT.

Serikali iwalazimishe hawa NMB ikiwezekana hadi 9% kutoka hiyo 17% iliyopo sasa
Soko huria
 
Inaelekea upeo wako wa kuchakata taarifa ni mdogo sana, anyway nikutoe huko. Ni kwamba chief Hangaya, anazungumza na wakurugenzi watendaji wa mabenki ili kuona namna ya kupunguza riba za mikopo kwa wawekezaji wote. Uwe mkulima au mfanyabiashara. Yote ni katika kuchochea uzalishaji na kukuza ajira ambayo itapelekea watu kuwa na vipato ili kumudu kununua bidhaa hizo zitakazo zalishwa. Nimejaribu kuweka concept ya uchumi kwa lugha rahisi ili watu wote waelewe.
Inaelekea kichwa chako ni mzigo kwa miguu, alafu unajiita msomi wakati una-reflect unbearable level of stupidity, mikopo ya wafanyakazi-SWL- inakuwa treated kwenye category ya wawekezaji au wakulima? 😁 😁 😁 Huna competent yoyote ya kuweza kumchambulia sera mtu hata mwenye uelewa mdogo vp sababu you no nothing alafu unahisi unajua. At the end, hakumna mjinga zaid ya yule ambaye ni mjinga alafu hajitambui hajui.
 
Inaelekea kichwa chako ni mzigo kwa miguu, alafu unajiita msomi wakati una-reflect unbearable level of stupidity, mikopo ya wafanyakazi-SWL- inakuwa treated kwenye category ya wawekezaji au wakulima? 😁 😁 😁 Huna competent yoyote ya kuweza kumchambulia sera mtu hata mwenye uelewa mdogo vp sababu you no nothing alafu unahisi unajua. At the end, hakumna mjinga zaid ya yule ambaye ni mjinga alafu hajitambui hajui.
Mada kama hizi huziwezi wewe idiot. Find your level of low thinking to challenge. An idiot trying to drag to your level of low thinking should be ignored.
 
Mada kama hizi huziwezi wewe idiot. Find your level of low thinking to challenge. An idiot trying to drag to your level of low thinking should be ignored.
Kujibu tu hoja huwezi, hata grammar tu tatizo, si ni bora sasa uandike tu kwa kiswahili mkuu 😁 😁 😁 .
 
Back
Top Bottom