Wanadai ni kwa watumishi wa uma,, Private sector hawahusiki nadhaniWanasema uwe mfanyakazi wa serikalini au makampuni walioingia nao mkataba.
Naomba kuuliza aliyewahi kupewa 40% ya salary advance kama NMB wanavyojinadi ni nani?
Ni kweli interest free au 6% ya processing fee?
Kama mkopo ni 1% au 2% processing fee why salary advance iwe 6% au ndio njia pekee ya kumuibia mlalahoi mwenye shida Lukuki? Acheni wizi.
==============================================