Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,419
- 15,974
Tangia asubuhi na mapema leo najaribu kufanya miamala kupitia huduma ya NMB MKONONI bila mafanikio na namba za huduma kwa wateja hazipokelewi. Je kuna anae experience hili tatizo au ni mimi tuu?
Na kama kuna tatizo mbona hawaarifu wateja wao ukizingatia kipindi hiki cha covid-19 tunashauriwa tutumie cashless services? NMB kunani? NMB Tanzania kuja hapa.
Na kama kuna tatizo mbona hawaarifu wateja wao ukizingatia kipindi hiki cha covid-19 tunashauriwa tutumie cashless services? NMB kunani? NMB Tanzania kuja hapa.