4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,784
Ndugu zangu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo, amani ya Bwana ikawe juu yenu.
Rejea kichwa tajwa hopo juu. Why NMB Bank mnatenda hivi?
Ni kweli mmekuja na app yenu on line, nawapongeza kwa hili, ila kumbukeni mteja na app yenu atachukua pesa kwenda na pesa yake na atatoa kwa wakala, mnajua hilo?
Why kwa mteja wenu ambae anatumia NMB APP kumtoza kiasi kikubwa cha fedha na ukizingatia anatumia pesa pia kununua kifurushi kuingia kwa app yenu achilia mbali kutoa kwa wakara bila kujali ni aina ipi ya mtandao wa sim.
Hivi mmekaa na kufikiri ni namna gani mnawaumiza wateja wenu, au mwafikili kupata maokoto tu.
Niseme acheini mara moja kuwaumiza watz vinginevyo vikampuni vyenu vitakufa , nanyi kufa mdomo wazi asema Bwana.
Thanks
Rejea kichwa tajwa hopo juu. Why NMB Bank mnatenda hivi?
Ni kweli mmekuja na app yenu on line, nawapongeza kwa hili, ila kumbukeni mteja na app yenu atachukua pesa kwenda na pesa yake na atatoa kwa wakala, mnajua hilo?
Why kwa mteja wenu ambae anatumia NMB APP kumtoza kiasi kikubwa cha fedha na ukizingatia anatumia pesa pia kununua kifurushi kuingia kwa app yenu achilia mbali kutoa kwa wakara bila kujali ni aina ipi ya mtandao wa sim.
Hivi mmekaa na kufikiri ni namna gani mnawaumiza wateja wenu, au mwafikili kupata maokoto tu.
Niseme acheini mara moja kuwaumiza watz vinginevyo vikampuni vyenu vitakufa , nanyi kufa mdomo wazi asema Bwana.
Thanks