Snipper
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,339
- 2,179
Huyo mburula humjui Rafiki yangu, hiyo reason anayosema ni Kagame kuivamia Burundi. Hata hizo vurugu zinazotokea ni akina Mchambawima, Koba et al wanaozichochea kisa mhutu aonekane failure. Watanzani kumbukeni wakati wa COW yeye ndo alikuwa upande wetu. Kwahiyo akina mchambawima wanalipa kisasi.
cyberspace ndio maana PN karudi madarakani
Last edited by a moderator: