Njozi ya rais wangu ajaye 2015-2020!

wos
tanzania sio executive president???

are you sure???????????

how???????
what kind a president that we have?
indian type???????? sidhani....
hebu check ur facts kwanza....
 
dadangu, hayo mabadiliko kama yapo basi ni kiduchu sana na hivyo kupelekea kuonekana kama hayapo.

Ni nini kinachokupelekea kuona mabadiliko ni kiduchu ndugu?
Kwa sababu kwa upande wangu naona watu wengi wana muamko wa kisiasa zaidi..na si mwamko duni ni mwamko ulioelimika wa viongozi gani wanafaa na wasiofaa.
Watu wengi wamejutia kutokupiga kwao kura..
watu wengi wanajua viongozi gania watawarudisha kundigi ifikapo 2015..
watu wengi pia wana uelewa mpana juu ya vyama vyetu vya siasa..
 
halafu twende ni mifano pia

zambia waliwaondoa kina kaunda
wakamuweka chiluba,mnakumbuka????
kenya walimuondoa kina kanu na wakamuweka
kibaki,mnakumbuka????????
 
mkuu generalization pia sio nzuri
mimi naamini hata ndani ya ccm wapo wenye uchungu na uadilifu
na hata ndani ya chadema kuna corrupt leaders...


tatizo ni mfumo unaotegemea zaidi mtu mmoja
tunahitaji mfumo ambao rais atawajibishwa na atapewa
guideline ya nini anatakiwa kufanya na nini haruhusiwi kufanya
Mkuu point yangu ni kwamba culture yetu ya sasa imekuwa mbovu, yaani ufisadi mwanzo mwisho, hakuna kuwajibika, enzi za zamani mtu alikuwa akiiba au kula rushwa tunamuona kama mwizi, lakini sasa kula rushwa na kuiba ndio ujanja, ukipata kazi leo usipojenga in two years time unaonekana mjinga na umezubaa, therefore kuna hii cancer mbaya sana ambayo imeshaingia kwenye damu yetu

The only way labda ni kupata some sort of dictator ambaye atakuwa haangalii sura na kuwa-punish watu, unajua rushwa na ufisadi ni tabia na culture ya watu kuwabadilisha ni kazi; mfano Japanese are hard workers, hiyo ni tabia yao, na mimi nadhani tunakoelekea sasa ni kuwa na tabia ya uvivu, ufisadi na upenda rushwa.., Tusipoangalia kurudi kwenye mstari itakuwa tabu, hata tukipata kiongozi kama Obama, Gandhi, Mandela all in one parcel..
 
Tukikata tamaa hivi NN, HAPANA!

Unadhani toka watanzania waanze kusema hakuna mabadiliko?


Kuna wakati Nyani Ngabu anaonekana kuwa too critical kwa "miafrika" lakini anachosema ni kweli kabisa. Ni mabadiliko gani tunayoweza kuita ni mabadiliko? Have lives of Tanzanians changed? Has our parliament changed that much? Kweli kuna wabunge makini kiasi bungeni wenye mapenzi na uzalendo wa dhati kwa Tanzani, lakini je what impact has their presence brought to our politics? Is it significant?

Naona bado kuna uswahili ubabaishaji na uafrika anaousema NN.

ajabu ni kuwa we are talking of rais anayekuja badala ya kukaa na kuangalia namna ya kudeal na hali ya sasa. Tunazungumzia rais badala ya urais, President instead of presidency.

JK anatumia wekaness zote zilizopo kwenye presidency ku-capitalize on his benefit, kwa hiyo tunatakiwa kuhakikisha kuwa mtu atakayekuwa raia wetu a-play by the rules na sio by his/her own will.
 
Mkuu point yangu ni kwamba culture yetu ya sasa imekuwa mbovu, yaani ufisadi mwanzo mwisho, hakuna kuwajibika, enzi za zamani mtu alikuwa akiiba au kula rushwa tunamuona kama mwizi, lakini sasa kula rushwa na kuiba ndio ujanja, ukipata kazi leo usipojenga in two years time unaonekana mjinga na umezubaa, therefore kuna hii cancer mbaya sana ambayo imeshaingia kwenye damu yetu

The only way labda ni kupata some sort of dictator ambaye atakuwa haangalii sura na kuwa-punish watu, unajua rushwa na ufisadi ni tabia na culture ya watu kuwabadilisha ni kazi; mfano Japanese are hard workers, hiyo ni tabia yao, na mimi nadhani tunakoelekea sasa ni kuwa na tabia ya uvivu, ufisadi na upenda rushwa.., Tusipoangalia kurudi kwenye mstari itakuwa tabu, hata tukipata kiongozi kama Obama, Gandhi, Mandela all in one parcel..

mkuu dikteata hatatusaidia
ataturudisha nyuma zaidi
tunataka culture ya watu wote washiriki kwenye
masuala yanayohusu taifa
 
Kuna wakati Nyani Ngabu anaonekana kuwa too critical kwa "miafrika" lakini anachosema ni kweli kabisa. Ni mabadiliko gani tunayoweza kuita ni mabadiliko? Have lives of Tanzanians changed? Has our parliament changed that much? Kweli kuna wabunge makini kiasi bungeni wenye mapenzi na uzalendo wa dhati kwa Tanzani, lakini je what impact has their presence brought to our politics? Is it significant?

Naona bado kuna uswahili ubabaishaji na uafrika anaousema NN.

ajabu ni kuwa we are talking of rais anayekuja badala ya kukaa na kuangalia namna ya kudeal na hali ya sasa. Tunazungumzia rais badala ya urais, President instead of presidency.

JK anatumia wekaness zote zilizopo kwenye presidency ku-capitalize on his benefit, kwa hiyo tunatakiwa kuhakikisha kuwa mtu atakayekuwa raia wetu a-play by the rules na sio by his/her own will.
Bongolander what you are saying is true... thus kwa level head inatakiwa kuongelea
the whole system of governency na sio JK yeye personally... maana ni system ambayo Chama tawala imeweka kiasi kwamba haijalishi ni nani kakalia kiti hicho...

Tanzania haitabadilika kamwe hasa kwa Mwananchi wa kawaida mpaka pale bureaucracy za governing zitapobadilika for the better - ikiwa stapled na Transparency... acha hii ya uswahili... Transparency in all levels of the governing system...
 
wos
tanzania sio executive president???

are you sure???????????

how???????
what kind a president that we have?
indian type???????? sidhani....
hebu check ur facts kwanza....

Boss,
Nakubali una point lakini nami nina point.True yeye ni kiongozi wa ule mhimili wa Executive.Lakini Waziri Mkuu ndio kiongozi wa shughuli zote za serikali.Kwangu mimi naona huyu ndiyo sawa na CEO kiutendaji na kiufanisi.
CEO yeyote yule kazi yake ndiyo mtendaji mkuu na msimamizi mkuu. Tuchukulie kwenye kampuni, yeye atawajibika kwa board iliyomteua.
Assuming that the president ndio mtendaji mkuu, anawajibishwa na nani? Asipodeliver, nani atamfuta kazi?

Tatizo kwenye presidency za nchi zetu za kiafrika, rais ndiye kila kitu!! Anaweza kuteua na kufukuza wengine.Je yeye asipotenda kwa kiwango anawajibika kwanini bila kuangalia sana theoretical side of things. Pia ukisema Katiba inasema hivi na vile, ni mara ngapi hiyo katiba inatumiwa kama rejea na kuwa effective?
 
Kuna wakati Nyani Ngabu anaonekana kuwa too critical kwa "miafrika" lakini anachosema ni kweli kabisa. Ni mabadiliko gani tunayoweza kuita ni mabadiliko? Have lives of Tanzanians changed? Has our parliament changed that much? Kweli kuna wabunge makini kiasi bungeni wenye mapenzi na uzalendo wa dhati kwa Tanzani, lakini je what impact has their presence brought to our politics? Is it significant?

Naona bado kuna uswahili ubabaishaji na uafrika anaousema NN.

ajabu ni kuwa we are talking of rais anayekuja badala ya kukaa na kuangalia namna ya kudeal na hali ya sasa. Tunazungumzia rais badala ya urais, President instead of presidency.

JK anatumia wekaness zote zilizopo kwenye presidency ku-capitalize on his benefit, kwa hiyo tunatakiwa kuhakikisha kuwa mtu atakayekuwa raia wetu a-play by the rules na sio by his/her own will.

mabadiliko yapo mengi sana huwezi kuona kama unategemea makubwa kwa haraka
mfano
1.sasa watu wanahoji serikali
2.vyombo vya habari haviogopi kama zamani
3.wapinzani wanaeleweka kuliko zamani
4.ufisadi unazungumzwa bila woga
5.maandamano yameanza kuwa kawaida

etc etc....
 
Boss,
Nakubali una point lakini nami nina point.True yeye ni kiongozi wa ule mhimili wa Executive.Lakini Waziri Mkuu ndio kiongozi wa shughuli zote za serikali.Kwangu mimi naona huyu ndiyo sawa na CEO kiutendaji na kiufanisi.
CEO yeyote yule kazi yake ndiyo mtendaji mkuu na msimamizi mkuu. Tuchukulie kwenye kampuni, yeye atawajibika kwa board iliyomteua.
Assuming that the president ndio mtendaji mkuu, anawajibishwa na nani? Asipodeliver, nani atamfuta kazi?

Tatizo kwenye presidency za nchi zetu za kiafrika, rais ndiye kila kitu!! Anaweza kuteua na kufukuza wengine.Je yeye asipotenda kwa kiwango anawajibika kwanini bila kuangalia sana theoretical side of things. Pia ukisema Katiba inasema hivi na vile, ni mara ngapi hiyo katiba inatumiwa kama rejea na kuwa effective?

wos
waziri mkuu ni kiongozi wa shughuli za serikali zote bungeni tu....
nje ya bunge anawajibika kwa rais...
hata uteuzi wa yeyote unafanywa na rais....
 
Bongolander what you are saying is true... thus kwa level head inatakiwa kuongelea
the whole system of governency na sio JK yeye personally... maana ni system
ambayo Chama tawala imeweka kiasi kwamba haijalishi ni nani kakalia kiti hicho...
Tanzania haitabadilika kamwe hasa kwa Mwananchi wa kawaida mpaka pale
bureaucracy za governing zitapobadilika for the better - ikiwa stapled na Transparency...
acha hii ya uswahili... Transparency in all levels of the governing system...


Asha na wengine,
Kiswahili chaweza kugomba maana ni lugha ya pili baada ya ile ya kienyeji.Kinachoongelewa hapa ni Presidency na siyo mtu! Naomba wote tuelewe hili na kama kuna mwenye kudhania tunajadili watu basi asahihishe.
 
mkuu dikteata hatatusaidia
ataturudisha nyuma zaidi

tunataka culture ya watu wote washiriki kwenye
masuala yanayohusu taifa

Ni kweli mkuu (maybe a dikteta is a strong word), lakini what I mean ni kwamba tumeshapotea njia kwa muda mrefu na tunapoelekea sio pazuri, kwahiyo kiongozi anayehitajika ni yule ambaye ataturudisha kwenye njia iliyonyooka na sio kwa ombi.., yaani we need a strong leader wa ku-make difficult decisions..,

Issue nyingine ni kwamba mfumo ni mbovu kila kiongozi akija anakuja na plans zake, hakuna (master plan ya nchi), inabidi nchi iwe na plans za kufanya na kila raisi akija awe ni mtekelezaji na sio mtengenezaji wa plans.., inabidi kwenye decisions za uchumi waachiwe wataalamu wa uchumi, engineers wafanye kazi zao, na sio wanasiasa kujifanya ndio wataalamu.
 
Tutafika tu siku moja, japo wasi wasi wangu tutafika tukiwa TUMECHOKA sana.
Paradiso tarajiwa itakua imebaki na mashimo maana madini yote yameshaondoka,
Jangwa maana miti yote ishakatwa,
Kame maana maji yote hamna na mvua hainyeshi,
Haina hata mjusi maana wanyama wote na Serengeti na mbuga zingine tumezihamishia Arabuni na mashariki ya mbali.

Tutafika tu jamani.............................
 
Tutafika tu siku moja, japo wasi wasi wangu tutafika tukiwa TUMECHOKA sana.
Paradiso tarajiwa itakua imebaki na mashimo maana madini yote yameshaondoka,
Jangwa maana miti yote ishakatwa,
Kame maana maji yote hamna na mvua hainyeshi,
Haina hata mjusi maana wanyama wote na Serengeti na mbuga zingine tumezihamishia Arabuni na mashariki ya mbali.

Tutafika tu jamani.............................


kuchoka kupo lakini je tuhofie kuchoka?

Watanzania tuna safari ndefu zaidi ya tunavyojua. Tunadhani wa kunyooshea kidole ni mtu mwingine na sisi hatuna mchango katika kujichokesha?
Vipi fikra zetu kama wananchi na wapiga kura? Kama wajenga nchi?
 
Back
Top Bottom