suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
ahahahahahahhaha nimecheka kweli unawapenda usinambie aseee!!Ninavowapenda wapika vitumbua! Daah!
ahahahahahahhaha nimecheka kweli unawapenda usinambie aseee!!Ninavowapenda wapika vitumbua! Daah!
ahahahahahahhaha nimecheka kweli unawapenda usinambie aseee!!
Juzi nimekabwa huku bugarika, kumbe ni wewe eeeh??
Hahahaa hebu fafanua free agent ndio nini nimepitwa hapo
Ww wa Mwanza eeh, bugarika ndio nyumbani nini?!
Accupation:muuza mayai.
Asili:karibu Tarime and be strong.
Umri:34........45.
Kabila:Mkurya.
Marital status:free agent.
Hahahahhh!!!
Sijui kama ni wewe ila kweli nilikaba siku hiyo halafu nikambaka kama ulibakwa ni mimi kweli
Hahah, bugarika huku hakufai asee wasukuma gani hawa lakini
Hahahahhh brenda18.
Wasukuma wamefanyaje tena??!!
asili:tanga ndo home
occupation: mpka vitumbua
kabila: mdigo
Umri:btn 21 - 30
marital status: in a relationship
Sema sema baba natafuta wakala wa max malipo sasa sijui wewe ni wakala wa.......
Hahahaa ila miss chagga una nini wewe??? Mwenzako anauliza marital status weye waedit eti like, lol
Accupation:muuza mayai,max malipo na mimi wapi na wapi!
Free agent means sijapewa limbwata nitulie,tehtehteh hiyo iko poa.
mwalimu akikufundisha kitu ongeza ujuzi wako
Haha,sawa lazima ulikuwa unawakimbiza darasani
Hizi ni false accusations tu mkuu
Mm natafuta mke na niko serious coz nimeanza kuzeeka, kuna ubaya gani hapo?