Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
mbona mgomvi jamani. Kwani mara ya mwisho kupata pipi ni lini?
Mhh...unataka kujua ki ukweli kwelii!?? nitadanganya tu..
ila sitaki pipi ya dada ndo maana naleta ugomvi..pipi ampe shemeji yangu @kaizer. mimi kama sijaletewa 'a man's precious item' = a WATCH!!!!! hakijaeleweka bado aisee....invicta/swiss army!!!